Recent content by A man with no name

  1. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hapo, kuna mama yake mzazi, kuna Dada yake, kuna mama j, iryn sasa ni yupi kati ya hao, sijui ngoja tuone atakuwa ni nani, hapo, maana mpaka sasa mwanamke aliyefariki ni sanch lakini huyu alikuwa ni rafiki wa biashara tuu,
  2. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Lini tena mwendelezo mkuu, naomba kufahamu
  3. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider ndg nilikutumia pm mkuu hujanijibu naomba kama hutajali unijibu please
  4. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    @INSIDER MAN mkuu kuna pm yangu nilikutumia ndg naomba uijibu kama hutajali ndg
  5. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Duh, kumbe kupika ni ushoga, hakika uko mbali na dunia ya leo, na inaonekana wazazi wako hawajafanikiwa kukulea katika mazingira ya kujitegemea na kujisimamia wewe kama wewe, bado uko na safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra ndg, na pia itapendeza kama utamtaka radhi ndg insider kwa kauli yako...
  6. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu, kwa walio kwenye ndoa wanafahamu kadhia tunazokumbana nazo humo ndani hivyo wala siwezi kukushangaa kwa lolote lile, labda nitakushangaa kwakutokuwa makini na simu yako tuu,
  7. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Naomba kufahamu mpaka sasa uhusiano wako na mama wawili bado upo kama zamani au uliamua kumpotezea na kufanya maisha yako bila kuwa na mazoea nae tena
  8. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mzee juma unamshirikishaje mambo ya kitoto kama hayo, siatakuona hujitambui aloo
  9. A man with no name

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Dah, ila mwana uko na matukio mengi sana ya hatari, linatoka hili linakuja lile, sasa hapo sababu ya mama mkwe wako, (pili) kukukàmatisha kwa police ni amehisi kwamba unatembea na binti yake au amepatwa na tatizo gani mpaka kuamua kukufanyia hivyo, Na hiyo case utamweleza nani ambaye anaweza...
  10. A man with no name

    Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

    Ndg, usilolijua ni sawa na usiku wa Giza ukiwahujawahi pata changamoto kama hiyo wala huwezi elewa mtu akikwambia hayo mambo, kikubwa omba usikutane nayo, ila ni mambo ambayo yapo kwa asilimia zote
Back
Top Bottom