Recent content by A d o l f

  1. A d o l f

    Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

    Wekundu wa Msimbazi wameanza msimu mpya wa Soka wa 2023/2024 kwa kishindo sana, je wanaweza kurejesha ubingwa wao waliopoyeza kwa miaka miwili mfululizo?
  2. A d o l f

    Saudi Arabia na EPL ugomvi zito

    Umemsahau na Riyaz Mahrez pia kutoka Manchester City
  3. A d o l f

    Which African teams have had the best jerseys?

    Senegal is the best
  4. A d o l f

    Watu wabaya ni wengi kuliko watu wema?

    Stress ni zaidi ya sumu
  5. A d o l f

    Tamaa inawezaje kumdhuru mtu?

    Dah hivi viumbe tunavipenda lakini vikikugeuka daaah utaisoma namba
  6. A d o l f

    Tetesi za Fabrice Ngoma kutekwa na Simba

    damu lazima imwagike sio? 😂 😂
  7. A d o l f

    Uzi maalumu kwajili ya kujifunza kucheza casino mtandaoni

    Ni mchezo upi wa casino ambao ni mzuri kuliko mwingine, na unapatikana kwenye kampuni ipi?
  8. A d o l f

    Tetesi za Fabrice Ngoma kutekwa na Simba

    Simba na Yanga salakasi kibao kwenye usajili
  9. A d o l f

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole sana ndugu, ulipata bonus yakuchana mkeka?
  10. A d o l f

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chelsea, Inter Milan, RB LEIPZIG, Manchester united, Napoli, PSG, Fernabahce miamba hiyo yote ilipoteza mechi zao. Nani aliekuchania mkeka wako weekend hii?
  11. A d o l f

    Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

    Leo draw ya klabu bingwa Africa itafanyika pale Cairo, Misri makao makuu ya CAF ambapo klabu za Tanzania Simba sc na Young Africans sc zikiwa ni miongini mwa team zilizofuzu hatua ya robo fainali. Simba sc inaweza kutana na Mamelodi Sundowns, Wydad Casablanca au Esperance de Tunis huku Young...
  12. A d o l f

    Watu walifanyaje kazi kabla ya mashine kuvumbuliwa?

    Hizo zilikua zinaitwa zama za giza
  13. A d o l f

    El Classico imekuwa yamoto!

    Barca mkikaa vizuri, mnaweza beba Laliga
Back
Top Bottom