Recent content by 999

  1. 9

    Balozi: Macho ya Dunia sasa ni kwa Magufuli

    Mchina hajawahi kupingana na serikali yoyote ile, yeye huangalia anachopata pale basi
  2. 9

    India yaitandika Tanzania kwa diplomasia ya "mbaazi". Yagoma kuinunua hadi kufikia kuuzwa Tsh 200 kwa kilo

    Daaah!! Ukurupukaji na uropokaji unatufikisha pabaya
  3. 9

    IGP Sirro apingana na kauli kuingia kituo cha polisi bure lakini kutoka lazima ulipie

    Kaongea upuuzi wa kujikosha tu. Rushwa kwa polisi ni lazima na ambazo hizo rushwa humfikia yeye ktk michango ya polisi wanayofanya Asituletee ujinga wake wa kujidai kupinga rushwa
  4. 9

    John Cheyo: Rais Mwinyi yuko sahihi, Magufuli anastahili kuongezewa muda wa kuongoza

    Nyie ndugu na Kagame, hii ni TZ Hii siyo nchi ya kabila mbili Huo ubanyamulenge soon tunauondoa hapa Tz
  5. 9

    Wachina wa Meli ya 'Samaki wa Magufuli' kwenda mahakama ya kimataifa. Wadai walipwe fidia pamoja na meli yao

    Daaah, Kipindi hiki tutalipa mpaka tuhamishiwe huko nje kwenda kufanya kazi kulipia mkopo
  6. 9

    Baada ya Serikali kuzuia mzigo wa almasi Airport, Rais wa kampuni ya Petra Diamond atua Tanzania kutuliza mambo

    Hii nchi upigaji unafanywa na hawa viongozi wetu tu, sidhani kama kuna mwananchi wa kumlaumu zaidi ya hawa wajinga wanaoshika madaraka kwa nguvu. Wao ndiyo wanaosaini mikataba tena kimyakimya kisha Leo haohao wa nakuja kutuambia eti tunaibiwa. Baadae watakuka kujisifia sisi tunadeal na...
  7. 9

    Lissu, Ikungi kuwa na shule nne zenye maabara ni aibu. Mfuko wa jimbo una kazi gani!?

    Lissu kazi yake ni kujenga shule? Ujinga, Umasikini na maradhi ndivyo vinavyokuongoza wewe. Lazima uwe idiot tu
  8. 9

    TRA anzisheni kitengo cha ushushushu,Mtaokoa biashara za masikini wengi

    Hivi siku hizi mbona hatutangaziwi makusanyo ya TRA kila mwezi?
  9. 9

    Kagera: Msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe washambuliwa na watu wasiojulikana

    Watu wasiojulikana wanazidi kuongezeka
  10. 9

    Uganda pekee yake ndiye amepunguza vikwazo, Tanzania na Kenya wamenuna kwa kwenda mbele

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] Hii sheria yao ya Ardhi ni Mali ya mtu itawafikisha pabaya Lazima waje kuchinjana haswa
  11. 9

    Uganda pekee yake ndiye amepunguza vikwazo, Tanzania na Kenya wamenuna kwa kwenda mbele

    Mkenya hamna kitu anaweza kukusaidia. Ardhi wameibinafsisha kwa watu wachache tena kisheria sasa wanalalama kutaka kuhamia nchi jirani tena kwa nguvu. Kuna mkenya mmoja amechukua land pale Arusha akajenga nyumba ya kuishi, jamaa yuko very rude yaani haamini kama kweli ni yeye anamiliki hiyo land
Back
Top Bottom