Recent content by 777misigaro

  1. 7

    Ubunge Kigoma mjini ngoma nzito: Zitto Vs Kabourou Vs Lumenyela

    Hivi mtu aliyekuwa kaimu katibu/katibu/makamu mwenyekiti mtu huyu kutaka kuwa mwenyekiti kuna nongwa hapo?
  2. 7

    Ubunge Kigoma mjini ngoma nzito: Zitto Vs Kabourou Vs Lumenyela

    Haya mama tumekusikia nenda kaogeshe mtoto.
  3. 7

    Ubunge Kigoma mjini ngoma nzito: Zitto Vs Kabourou Vs Lumenyela

    kweli wew 'shosti' huwezi kumlinganisha Zitto na hao vilaza!Kiufupi nadhani hata ktk rank mwenyewe umeanza na Zitto coz u know exactly what's that shit about.
  4. 7

    ACT - Tanzania inapambana na vyama vyote Tanzania

    huwez kuwaelewa kwasababu unaona tu BILA kusikia!
  5. 7

    Kuhusu Habibu Mchange

    wew ulikuwa una'mobilize' nn?
  6. 7

    Kuhusu Habibu Mchange

    "wseleqo" ina maana gani mama?
  7. 7

    Kuhusu Habibu Mchange

    kweli kabisa!CHADEMA ndo kuna UADILIFU! teh teh teh teh teh
  8. 7

    Kugawa milioni hamsini kila kijiji ndio kuwaondolea wananchi umaskini?

    Nahisi maandaz ya pale Lumumba tayari yalikuwa yameshaanza kumeng'enywa ndo maana akatokwa na 'pumzi' chafu hiyo.Wakati mwingine sijui watu hawa huwa hawajajiandaa wanapaswa waseme nn kwenye hadhara kama ile!?Mtu yupo mbele ya Dunia anashindwa hata kuficha 'ujinga' wake angalau kwa dakika chache...
  9. 7

    Zitto awajibu CHADEMA juu ya fedha za ziara za ACT- Wazalendo mikoani

    kaka hebu nichambulie hiyo bilioni MOJA inavyotawanywa kwenye nyanja zipi mpaka useme ni lazima iwe hiyo hyo 1bil. Halafu mada yako ina upande,tujadili kwani vyama vingine KABLA havijawa na ruzuku vilitoa wapi fedha kwa ajil ya kampeni kwa mara ya kwanza?Me nafikiri vyama vya siasa vina...
  10. 7

    Mbowe: JWTZ imepeleka Wataalamu wa IT NEC

    Acha umbumbumbu wew,Mbowe ni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani na ana uzito na umuhimu wa kipekee. Maneno ya Mbowe yanapaswa yachukuliwe kwa uzito wake,kama haujui Mbowe ana Uwezo wa kuchafua sifa ya tz(mnayoiita amani) akitaka,anaweza kuwasha moto ambao kuuzima kwake ni shughuli pevu! Wakati...
  11. 7

    Kwa yanayoendelea UKAWA. Je, tutaishia kwa yaliyowakuta Libya na Gadaffi?

    bora kuwa ktk giza ukitafuta nuru kuliko kuwa ktk nuru ya kichina!
  12. 7

    Kwa yanayoendelea UKAWA. Je, tutaishia kwa yaliyowakuta Libya na Gadaffi?

    Ni bora tuishi ktk hofu tukijua tunatafuta amani kuliko kuishi ktk amani iliyojaa hofu.
Back
Top Bottom