kweli wew 'shosti' huwezi kumlinganisha Zitto na hao vilaza!Kiufupi nadhani hata ktk rank mwenyewe umeanza na Zitto coz u know exactly what's that shit about.
Nahisi maandaz ya pale Lumumba tayari yalikuwa yameshaanza kumeng'enywa ndo maana akatokwa na 'pumzi' chafu hiyo.Wakati mwingine sijui watu hawa huwa hawajajiandaa wanapaswa waseme nn kwenye hadhara kama ile!?Mtu yupo mbele ya Dunia anashindwa hata kuficha 'ujinga' wake angalau kwa dakika chache...
kaka hebu nichambulie hiyo bilioni MOJA inavyotawanywa kwenye nyanja zipi mpaka useme ni lazima iwe hiyo hyo 1bil.
Halafu mada yako ina upande,tujadili kwani vyama vingine KABLA havijawa na ruzuku vilitoa wapi fedha kwa ajil ya kampeni kwa mara ya kwanza?Me nafikiri vyama vya siasa vina...
Acha umbumbumbu wew,Mbowe ni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani na ana uzito na umuhimu wa kipekee.
Maneno ya Mbowe yanapaswa yachukuliwe kwa uzito wake,kama haujui Mbowe ana Uwezo wa kuchafua sifa ya tz(mnayoiita amani) akitaka,anaweza kuwasha moto ambao kuuzima kwake ni shughuli pevu!
Wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.