Recent content by 6 Pack

  1. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Hivi waandaaji wa show za wasanii huwa wanapata vipi faida?

    Muandaaji wa tamasha hufaidika kupitia vinywaji, vyakula na vitu vingine vinavyouzwa ukumbini. Let's say bia 1 mtaani ni sh 2000. Pale ukumbini itauzwa sh 10000, hivyo muandaaji bia 1 atapata faida mara 5 ya yule anaepata faida mtaani. Hapo bado vyakula mfano chips kuku mtaani sh 5000, ukumbini...
  2. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia Iran kijeshi na kuweka vikwazo vipya vya mafuta, hali yachafuka Mashariki ya Kati

    Since Iran ifanikiwe kudhibiti uvamizi wa nchi 8, yani USA, Israel, Qatar, Jordan, Saudia, Bahrain nk. Huku ikifanikiwa pia kupigana nazo kwa muda wa siku 40 usiku na mchana bila kulalamika kuishiwa silaha. Basi hakuna kitachoitisha tena nchi hiyo yenye nguvu za ajabu ( licha ya vikwazo vya...
  3. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Uliwahi kumpa kichochoro chako akakataa?
  4. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Wavaa Pampers wako tayari kumpa mtu yoyote uchochoro ilimradi uwape mbinu za kuuwa. Hata mimi ukiniahidi kunipa uchochoro wako nitakupa mbinu ya kuuwa maadui zako.
  5. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Sasa kama una ID 1 umewezaje kuja fasta fasta ku comment kwangu wakati nilimquote mvaa Pampers mungine? Au ndio mpakataji wako anaekupakata usiku?
  6. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Ni vigumu na pia haiwezekani marijali wenye uwezo wa kutembeza bakora kwa wake wanne wapigwe na wavaa pampers wanaowapa makalio wanaume wenzao. Huyo Netanyahu mwenyewe marinda hana. Yani ni uchochoro mtupu. Ukitest unajikuta umetokea Sinza.
  7. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Kumbe una ID mbili tofauti ili uwe una comment mwenyewe na kuji quote mwenyewe 🤣🤣🤣 Ndomana uharo uliopo kwenye ID ya kwanza hautofautiani na uharo wa kwenye ID ya pili. Nakushauri uwahi mapema ukabadilishe pampers yako kabla ya kuharibu hali ya hewa maskani 🤣🤣🤣.
  8. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Nyerere aliwahi kusema kuwa watu wajinga na wapumbavu utawaona kwenye kauli zao haswa pale wanaposhindwa hoja mezani wao hukimbilia kujificha kwenye kichaka cha dini, kabila, jinsia au rangi. Mada inazungumzia Israel na Marekani tu. Hakuna sehemu iliyotaja kanisa, msikiti wala sinagogi. Sasa...
  9. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Zama hizi za ukweli na uwazi uongo wao unaonekana dhahiri kuwa hawawezi vita. Wanachakazwa hata na wavaa misuli Houths ya Yemen hadi Marekani na nchi zingine za West zinaingilia kati kusaidia 🤣🤣🤣
  10. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wanaofahamu mambo ya biashara au mikopo ya bajaji?

    Niaje waungwana Ikitokea mtu ana Mil 5 keshi, lakini anahitaji bajaji mpya. Akienda katika dula linalouza, au kukopesha bajaji Dar na mdhamini wake. Kisha awambie kuwa ana Mil 5, anaomba bajaji ya mkopo akaanzie kazi, halaf zitazobaki watalipana kwa mkataba wa malipo ya kila siku, hata ikibidi...
  11. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Huyo huku hauwezi kumuona, maana hana hoja
  12. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Mwisho wa siku, ndio siku gani sasa mbona haitajwi? Kama kusalimisha uranium ndio lineonekana swala la muhimu kwako, na kwa hao wavaa Pampers wenzako .... Kwanini imeshindwa kutumiwa nguvu ya kuilazimisha Iran isalimishe uranium yake sasa kabla ya makubaliano mengine kufanyika? Unajua nyie...
  13. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Angalia majibu ya kura za maoni nchini Israel, kuhusu vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran pekee yake

    Niaje waungwana Ule msemo wa wahenga wa zamani kwamba kila "kwenye UKWELI, UONGO hujitenga" pembeni, umeanza kufanya Kazi vizuri nchini Israel, ambapo kura za maoni zilizofanywa na raia wa nchi hiyo zinaonesha kwamba Iran ilishinda vita yao kwa 92%. Hawa waliohusika na mchakato huu wa kura ni...
Back
Top Bottom