Recent content by 6 Pack

  1. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Vijana wa mafwele huwa hawalembi. Wakikuelekea tu umekwisha 🤣🤣🤣
  2. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Usiwe na shaka taarifa ya Trump mwenyew hiyo hapo
  3. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Inawezekana vijana wanaopanga kumla kichwa Trump hawajapitia hata jkt ya huko. Haiwezekani mara 4 yote wamkose mtu mmoja!
  4. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Na vipi kwa upande wa mambo ya kiroho? Baada ya uchaguzi wao wa katikati ya muhula Trump atatusua kweli miwili iliyobaki, au ndo atawekwa mtu kati anyang'anywe tonge mdomoni?
  5. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Ila kuna shambulio moja lilifanikiwa kuondoka na kipande cha nyama ya sikio, kule kwenye kampeni ya uraisi 🤣🤣🤣
  6. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Huenda alikuwa ashakunywa viloba kwanza ambavyo vilimpa imagine ya jinsi angeweza kuyayuka kama upepo baada ya tukio 🤣🤣🤣
  7. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Yeye mwenyew mbona dikteta uchwara huko Marekani. Ukipingana nae tu basi utapata shida. Huyu mzee angekuwa ni raisi wa nchi yoyote ya Afrika, basi angekuwa hana tofauti na Magufuli au Ngurunziza. Bahati nchi aliyopo mifumo inajitahidi kumbana asitimize ushenze wake. Bila hivyo leo hii joe Biden...
  8. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Bahati mbaya mlengwa kanusurika, halaf mlengaji ndio kaliwa kichwa. Dah..
  9. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Mtangazaji huyu alilazimika kuacha kutangaza ghafla ili kuokoa uhai wake
  10. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Nilichoandika hakihusiani na kauli za Trump mkuu, bali kinahusiana na kile kilichotokea White House mida hii. Kuhusu swala la uongo wa Trump nakubaliana na wewe kwa % zote
  11. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Ni tukio lililotokea sasa hivi. Na vyombo vyote vikubwa vya kimataifa vimetoka ku report ikiwemo CNN nk. Nenda YouTube utaona kilichotokea na kinachoendelea sasa hivi.
  12. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Niaje waungwana Habari ndio hiyo, baada ya muda mchache wa kutangaza makubaliano mapya na Iran, ghafla milio ya risasi ilisikika nje ya white house na kusababisha hatihati katika eneo zima la ikulu ya Marekani. Hapa inawezekana Netanyahu anahusika kuhakikisha Trump haingii makubaliano yoyote...
Back
Top Bottom