Aibu ulitakiwa uone wewe myahudi wa sumbawanga kwa nchi yenu ya mashoga Israel kushirikiana na Marekani ili kupambana na nchi 1 Iran. Na bado mnatolewa kinyesi hadi mnaomba na NATO iingilie kati kuwasaidia lkn NATO nayo inaogopa kutia mguu ili isije kukumbana na kipindo wanachokumbana nacho...
Wizara ya ulinzi ya Israel siku hizi imekuwa ya malalamiko na mipasho kama waimba taarab. Mara ooh Iran inashambulia raia nk. Lkn Iran haijali inaendelea kushusha kipondo bila kujali kinachowaliza mazayuni.
Niaje waungwana
Naona Netanyahu kawekwa mtu kati 🤣🤣🤣🤣
Akienda mbele nchale ( Iran )
Akirudi nyuma nchale ( Hezbollah )
Akikaa nchale ( Houthis )
Muona mbali, na mjuzi wa mambo ya vita, niliwahi kuandika threads huko nyuma (2022) na (2024) kabla Iran na Israel hazijawahi kushambuliana moja...
Nilichoandika miaka 2 iliyopita kabla hata Iran na Israel hazijashambuliana face to face ndio kinachoendelea sasa. Hezbollah Houthis shikilieni hapo hapo mpaka muhakikishe Israel yote inarudi kwenye mikono ya wapalestina.
Kwa sasa baada ya kuiteka galilaya msibweteke.
Inaonekana umeshiba mihogo ya kuchemsha sasa unakuja jukwaani kucheuwa tu bweee.
Dunia ya leo haiendeshwi kwa dhana kijana. Weka facts ambazo zina support hiki ulichoandika, na sio kuja na porojo ulizolishwa klabuni.
Israel inasaidiwa na kila mtu anaona. Marekani anaomba NATO iwasaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.