Na vipi kwa upande wa mambo ya kiroho? Baada ya uchaguzi wao wa katikati ya muhula Trump atatusua kweli miwili iliyobaki, au ndo atawekwa mtu kati anyang'anywe tonge mdomoni?
Yeye mwenyew mbona dikteta uchwara huko Marekani. Ukipingana nae tu basi utapata shida. Huyu mzee angekuwa ni raisi wa nchi yoyote ya Afrika, basi angekuwa hana tofauti na Magufuli au Ngurunziza.
Bahati nchi aliyopo mifumo inajitahidi kumbana asitimize ushenze wake. Bila hivyo leo hii joe Biden...
Nilichoandika hakihusiani na kauli za Trump mkuu, bali kinahusiana na kile kilichotokea White House mida hii.
Kuhusu swala la uongo wa Trump nakubaliana na wewe kwa % zote
Ni tukio lililotokea sasa hivi. Na vyombo vyote vikubwa vya kimataifa vimetoka ku report ikiwemo CNN nk. Nenda YouTube utaona kilichotokea na kinachoendelea sasa hivi.
Niaje waungwana
Habari ndio hiyo, baada ya muda mchache wa kutangaza makubaliano mapya na Iran, ghafla milio ya risasi ilisikika nje ya white house na kusababisha hatihati katika eneo zima la ikulu ya Marekani.
Hapa inawezekana Netanyahu anahusika kuhakikisha Trump haingii makubaliano yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.