Recent content by 6 Pack

  1. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Aibu ulitakiwa uone wewe myahudi wa sumbawanga kwa nchi yenu ya mashoga Israel kushirikiana na Marekani ili kupambana na nchi 1 Iran. Na bado mnatolewa kinyesi hadi mnaomba na NATO iingilie kati kuwasaidia lkn NATO nayo inaogopa kutia mguu ili isije kukumbana na kipindo wanachokumbana nacho...
  2. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Ukiona mwanaume anaandika neno bhana, ujue huyo ni choko na anatembea na kinyesi makalioni.
  3. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Mtu anaeitwa bibi lazima atakuwa na babu anaemshughulikia huko chini ya hand handaki kimya kimya, huku misukule yake mkimuona shujaa wenu
  4. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Kala kande za mtama mwache aachie mashuzi tu huyo mkuu
  5. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Wizara ya ulinzi ya Israel siku hizi imekuwa ya malalamiko na mipasho kama waimba taarab. Mara ooh Iran inashambulia raia nk. Lkn Iran haijali inaendelea kushusha kipondo bila kujali kinachowaliza mazayuni.
  6. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Kwa sasa hakuna mwenye amani na furaha pale Israel. Hofu na uoga umewaandama waisrael wote.
  7. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Mazayuni wana mkono mrefu ndo maana hadi moderators wa JF wanawasujudia na kujaribu kuficha aibu zao.
  8. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Wanaogopa kiongozi wao kuumbuka 🤣🤣🤣
  9. 6 Pack

    Picha: Vita imefika pabaya, Netanyahu anadhalilika mchana kweupee!

    Niaje waungwana Naona Netanyahu kawekwa mtu kati 🤣🤣🤣🤣 Akienda mbele nchale ( Iran ) Akirudi nyuma nchale ( Hezbollah ) Akikaa nchale ( Houthis ) Muona mbali, na mjuzi wa mambo ya vita, niliwahi kuandika threads huko nyuma (2022) na (2024) kabla Iran na Israel hazijawahi kushambuliana moja...
  10. 6 Pack

    Askari wa IDF wauawa na kutekwa na Lebanon

    Safari hii watachinjwa san kenge hao
  11. 6 Pack

    Trump kawa kichaa

    Wenye akili tushampuuza zaman huyo mzee.
  12. 6 Pack

    Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

    Nilichoandika miaka 2 iliyopita kabla hata Iran na Israel hazijashambuliana face to face ndio kinachoendelea sasa. Hezbollah Houthis shikilieni hapo hapo mpaka muhakikishe Israel yote inarudi kwenye mikono ya wapalestina. Kwa sasa baada ya kuiteka galilaya msibweteke.
  13. 6 Pack

    Marekani imeshindwa vita lakini masharti yake ya kusitisha vita ni ya kuchekesha sana

    Inaonekana umeshiba mihogo ya kuchemsha sasa unakuja jukwaani kucheuwa tu bweee. Dunia ya leo haiendeshwi kwa dhana kijana. Weka facts ambazo zina support hiki ulichoandika, na sio kuja na porojo ulizolishwa klabuni. Israel inasaidiwa na kila mtu anaona. Marekani anaomba NATO iwasaidie...
Back
Top Bottom