Pia hawa jamaa wanavyofanya sio vizuri kwanini mnamuunganisha mtu kwenye huduma bila yeye kujiunga.. Alafu pia wanatoa maelezo ya kujitoa ya uongo. Pia ukipiga namba hiyo unazidi kuliwa pesa.. Mbaya zaidi hakuna customers care kweli mmesha nichafua TCRA liangalieni hili juu ya hawa halotel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.