Recent content by 43s4all

  1. 43s4all

    Nauza Sony Digital Camera Cybershot DSC-HX300

    Ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote .Tzs 600,000 = Laki sika Key Features 20.4 megapixel Exmor R CMOS sensor 50x optical zoom lens (35mm equiv: 24-1200mm) Optical SteadyShot 3 inch 921k dot LCD screen Full manual controls Electronic viewfinder Full 1080p HD video recording ISO 80 -...
  2. 43s4all

    Sony Cyber-shot DSC-HX300 20.4MP Digital Camera - Black

    Ninauza sony digital camera ipo katika hali nzuri kama mpya.
  3. 43s4all

    Nauza panasonic video camera

    Panasonic HDC-HS300. 3mos 1920 fullHD. Inatumea HDD (120GB) ipo katika hali nzuri kabisa na inafanya kazi kama unavyoona katika pictures ipo na external mic, bag,2 batteries na original box . ipo uk ninaweza kuituma bongo. Bei ni laki 6.
  4. 43s4all

    Ninauza Panasonic camera DMC-GH2 (hacked)

    Ninauza Panasonic camera DMC-GH2 (hacked) hack has a higher bitrate ambayo ni professional video quality. ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote ipo pamoja lens yake14-42 lens +Original box Battery/Charger/cables , bei yake milioni moja laki mbili. Brand: Panasonic Model: DMC-GH2...
  5. 43s4all

    Nauza video camera mbili

    Nauza digital camcorder mbili kwa pamoja sony DCR-TRV10E na canon MVX3i ziko katika hali nzuri lakina canon ina tatizo la sauti speaker na microphone haifanyi kazi lakini una weza kutumia external microphone itafanya kazi.Bei laki nne na nusu TZS 450000
  6. 43s4all

    mvx3i mini dv camcorder

    Nauza camcorder ya canon MVX3i ipo katika hali nzuri kabisa haina tatezo lolote. Bei ni 450,000/= (Laki nne na nusu)
  7. 43s4all

    Utajisikiaje ukisikia baba yako ametumbuliwa majipu na Dkt. Magufuli??

    Mhh.. jibu lake ni gumu sana :eek2:
  8. 43s4all

    Wizara nane kufutwa, nyingine kuunganishwa

    I hope nguvu aliyoanza nayo iendelee kwa kipindi chake chote na vile vile atachagua team ambayo haita muangusha Mabadiliko ni muhimu
  9. 43s4all

    Nauliza tu, hivi ni sahihi kufuta kabisa safari za nje?

    Bora safari za ndani ziwe nyingi kutatua kero za wananchi kuliko safari za nje ambazo pengine ningi huwa sio lazima kundi la watu kusafiri angalau zipunguzwe kwa kiasi kikubwa sana na iwe yenye umuhimu mkubwa otherwise Balozi anatosha kuiwakilisha nchi.Itaweza kupunguza gharama ambazo zitasaidia...
  10. 43s4all

    Zanzibar ikijitoa kwenye Muungano???

    Wazanzibari wanauthamini Muungano isipokuwa CCM ndio hawauthamini.Wameziba masikio na wamejipofusha macho bila kufikiria kama itakuja kuwadhuru kwa namna moja ama nyengine.Wanajua kama ushindi upo kwa wapinzani kwahivo ikiwa itashindikana kukaa madarakani basi watahakikisha nchi wanaichafua ili...
  11. 43s4all

    Tudumishe amani kwa kukubali matokeo

    Zanzibar yamefutwa matokeo vipi atangazwe rais???????? Au achaguliwe Rais waTanganyika tu??? na ZNZ je?? Mkanganyiko huu Siasa au Democrasia huwa haisomeki kwakweli
  12. 43s4all

    Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

    Mwenyezi Mungu ndie anayeleta na yeye ndio huondosha na hakuna kitakachokuwa na mwazo kikakosa mwisho kwasababu nguvu za Mwenyezi Mungu ni kubwa kuliko binaadamu hata akitumia Nucklia.Ile siku ya mabadiliko ni yeye Mwenyezi Mungu ndio anaujuzi nao ila chakuomba yawe mabadiliko yenye haki kwa...
  13. 43s4all

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Tunaishi kwa sare za chama tuuu:yawn:
  14. 43s4all

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Siasa safi :bowl: Uongozi bora Mwaka wa mutukio
Back
Top Bottom