Ni biashara ya kununua bidhaa online kwa supplier wakubwa kama alibaba, Amazon na zingine alafu una panga bei yako mfano umenunua $2 we una weka $8 unauza mteja akininua kupitia kwako supplier anampelekea mpaka alipo kwahiy wewe unakuwa katikati ya mteja na supplier
Habari zenu ndugu polen na majukumu mimi niliuw na penda kujua kati ya software developer na Cyber security ipi inaweza kukutengenezea utajiri mkubwa kwa Tanzania hapa
bora
cyber
cyber security
developer
ipi
kati
katika
kujiajiri
kutengeneza
kutengeneza pesa
nyingi
pesa
pesa nyingi
security
software
software developer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.