Recent content by 27MoFire

  1. 27MoFire

    Lema agonga mwamba Arusha

    Jamani saa nyingine tuwe tunatumia akili za kuzaliwa..Mtu kakataa mwenyewe kupewa dhamana then watu wengine mnataka kuandamana ili atolewe..so what..??? ifike mda watu tuache ushabiki wa kisiasa na tufanye mambo yenye manufaa kwa jamii inayotuzunguka..kama kakataa dhamana then mwacheni akae huko...
  2. 27MoFire

    Daladala za Arusha zagoma

    kweli daladala muhimu
  3. 27MoFire

    Kama upo ARUSHA hii inakuhusu

    pande za kimandolu wanakata umeme saa 12 jioni then kurudisha ni sa 11alfajiri...inaboa kiukweli
Back
Top Bottom