Ndugu zangu Watanzania wenye mapenzi ya kweli kwa Taifa letu, naandika maneno haya huku moyo wangu ukuwa mzito sana kutokana na mauaji ya kila siku yanayoendeshwa na chombo tulichokikabidhi ridhaa ya kulinda usalama wetu.
Jeshi la Polisi ni chombo muhimu katika jamii ambacho katika jamii huru...
Hiyo kampuni inaitwa NICE SYSTEMS na unaweza kupata habari zake zaidi kutoka hapa: NICE Systems - Wikipedia, the free encyclopedia
au hapa: NICE Systems | Intent. Insight. Impact.
Ni kweli na hakika anayoyasema Bw Marando. Zile text messages alizotumiwa Mugulu Njemba (Mwigilu Nchemba) ni wazi...
Siku zote mie ninasema, huyu mama hamnazo. Kati ya watu wenye akili finyu katika Taifa letu, ni huyu Mama. Wapo wengi ndani ya CCM ila huyu mama anashika nafasi za mwanzo.
Ni kweli kabisa, hawa KAFU (CUF) ni wanafiki na wazandiki wakubwa. Hii ajali ingekuwa Bukoba au Musoma, wao wasingetoka. Wangewaachia wabunge wa kweli wa CDM ndio watoke pekee yao. Wananiboa kichii hawa KAFU.
This is a very weak reasoning. Nachelea kuamini tuna watu humu ndani ambao wanafikiria along these lines. Chuo watu wanamaliza in June, so that means Mwigulu alimaliza masomo yake in June of 2004. Kama alipata ajira immediately after, then alikuwa na zaidi ya mwaka mmoja na nusu wa kufanya huo...
Wewe utapiga kelele mpaka utachoka. Weye na Wanzibari wenzio mtaendelea kutawaliwa na sie waTanganyika mpaka hapo tutapoamua kuaachia muwe huru. Na kama unatuita sisi wachamba kwa guruzi la mahindi, je nyie watumwa wetu mtakuwa mnatawadhia nini? Oh, nimekumbuka nyie mnachamba wima.
Hivi ndugu zangu hasa walio waislamu inaonekana hili swala la Nyerere kuitwa Baba wa Taifa inawauma sana, hivi ni kwa sababu yeye ni mkristo au ni nini haswa? Sasa mpende msipende, Nyerere ataendelea kuitwa Baba wa Taifa. Nyie muiteni mnavyotaka lakini majority ya watanzania tunamtambua Nyerere...
Hivi, ni kwanini kila siku kisingizio huwa ni mafuta? Hii inaonesha ufinyu wa hali ya juu wa kufikiria. Jaribu kujifunza na kupata habari kabla ya kuandika hizi pumba. Unadai "inasemekana wana kiwango kikubwa sana cha mafuta", huu mchongo weye umeutoa wapi, au kwenye gazeti lenu la ANNUR au ile...
Huu ni uthibitisho dhahiri kwamba CHADEMA imewashika pabaya hawa magamba. Endapo kiongozi wa chama tawala anaamua kuacha decency na ustaarabu wetu wa kiafrika na kuanza kutoa mashambulizi ya kisiasa kwenye kadamnasi ya wafiwa, ujue mambo yanazidi kuwa magumu kwa CCM. Same stupidity has been...
Ndugu Nape, ni aibu isiyo na kipimo pale mwana-adam anapoamua kutumia msiba kupata cheap political points. Katika waraka wako hapo juu, umeanza vizuri, lakini umeharibu ulipoanza kuingiza maoni yako ya kipropaganda dhidi ya CHADEMA kwa kumtumia marehemu bob Makani. Being a politician doesn't...
Swali la msingi linalotupasa watanzania tujiulize, ni je, kwanini hawa takukutu wanakuwa only reactive? Kwanini hawazuii huu wizi na ubadhirifu badala yake wanasubiri mpaka maafa yatokee ndio wanajifanya kuanza uchunguzi. Uchunguzi wa nini sasa? Sitashangaa nikisikia wamewasafisha mawaziri wote...
Ndugu January Makamba, nina maswali kadhaa kwako:
1: Je unaridhika na utendaji wa serikali (please be smart enough and answer NO!)
2: Je haukubaliani na wabunge pamoja na watanzania wengine ambao wamechoshwa na utendaji mbovu wa serikali na wanaona kuna umuhimu wa hatua madhubuti kuchukuliwa?
3...
CHADEMA haina haja ya kuelezea uhusiano wake na Conservatives ya UK. Jambo la msingi ni kwamba sera ya CHAEMA ni kuwa na uchumi usiotegemea fedha za wahisani, kwa hiyo chini ya uongozi wa CHADEMA hakutakuwa na haja ya kushinikizwa na nchi wahisani ili kupata fedha ya misaada. CCM na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.