Recent content by 255Texter

  1. 255Texter

    Hoja: Jeshi la polisi livunjwe na liundwe upya

    Ndugu zangu Watanzania wenye mapenzi ya kweli kwa Taifa letu, naandika maneno haya huku moyo wangu ukuwa mzito sana kutokana na mauaji ya kila siku yanayoendeshwa na chombo tulichokikabidhi ridhaa ya kulinda usalama wetu. Jeshi la Polisi ni chombo muhimu katika jamii ambacho katika jamii huru...
  2. 255Texter

    Mabere Marando:Jambo hili ni zito,Werema sharti asikurupuke

    Hiyo kampuni inaitwa NICE SYSTEMS na unaweza kupata habari zake zaidi kutoka hapa: NICE Systems - Wikipedia, the free encyclopedia au hapa: NICE Systems | Intent. Insight. Impact. Ni kweli na hakika anayoyasema Bw Marando. Zile text messages alizotumiwa Mugulu Njemba (Mwigilu Nchemba) ni wazi...
  3. 255Texter

    Wabunge wote wa upinzani watoka bungeni baada ya Spika kukataa kuahirisha bunge

    Siku zote mie ninasema, huyu mama hamnazo. Kati ya watu wenye akili finyu katika Taifa letu, ni huyu Mama. Wapo wengi ndani ya CCM ila huyu mama anashika nafasi za mwanzo.
  4. 255Texter

    Wabunge wote wa upinzani watoka bungeni baada ya Spika kukataa kuahirisha bunge

    Ni kweli kabisa, hawa KAFU (CUF) ni wanafiki na wazandiki wakubwa. Hii ajali ingekuwa Bukoba au Musoma, wao wasingetoka. Wangewaachia wabunge wa kweli wa CDM ndio watoke pekee yao. Wananiboa kichii hawa KAFU.
  5. 255Texter

    Mwigulu Mchemba alishiriki kwenye wizi wa EPA.

    This is a very weak reasoning. Nachelea kuamini tuna watu humu ndani ambao wanafikiria along these lines. Chuo watu wanamaliza in June, so that means Mwigulu alimaliza masomo yake in June of 2004. Kama alipata ajira immediately after, then alikuwa na zaidi ya mwaka mmoja na nusu wa kufanya huo...
  6. 255Texter

    Sababu Hasa ya Kuuchokonoa Muungano hii hapa...

    Wewe utapiga kelele mpaka utachoka. Weye na Wanzibari wenzio mtaendelea kutawaliwa na sie waTanganyika mpaka hapo tutapoamua kuaachia muwe huru. Na kama unatuita sisi wachamba kwa guruzi la mahindi, je nyie watumwa wetu mtakuwa mnatawadhia nini? Oh, nimekumbuka nyie mnachamba wima.
  7. 255Texter

    Matamko ya BAKWATA na UAMSHO ni dalili ya serikali za CCM legelege

    Hivi ndugu zangu hasa walio waislamu inaonekana hili swala la Nyerere kuitwa Baba wa Taifa inawauma sana, hivi ni kwa sababu yeye ni mkristo au ni nini haswa? Sasa mpende msipende, Nyerere ataendelea kuitwa Baba wa Taifa. Nyie muiteni mnavyotaka lakini majority ya watanzania tunamtambua Nyerere...
  8. 255Texter

    Ktk Kumuaga Bob: CHADEMA hawakuzingatia Utaifa

    Duh, hizi sigara mnazovuta wenzetu mbona hamtuambii zinaitwaje. Maana naona zinabangua ubongo kisawasawa.
  9. 255Texter

    Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

    Hivi, ni kwanini kila siku kisingizio huwa ni mafuta? Hii inaonesha ufinyu wa hali ya juu wa kufikiria. Jaribu kujifunza na kupata habari kabla ya kuandika hizi pumba. Unadai "inasemekana wana kiwango kikubwa sana cha mafuta", huu mchongo weye umeutoa wapi, au kwenye gazeti lenu la ANNUR au ile...
  10. 255Texter

    Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

    Huu ni uthibitisho dhahiri kwamba CHADEMA imewashika pabaya hawa magamba. Endapo kiongozi wa chama tawala anaamua kuacha decency na ustaarabu wetu wa kiafrika na kuanza kutoa mashambulizi ya kisiasa kwenye kadamnasi ya wafiwa, ujue mambo yanazidi kuwa magumu kwa CCM. Same stupidity has been...
  11. 255Texter

    Namlilia Bob Nyanga Makani

    Ndugu Nape, ni aibu isiyo na kipimo pale mwana-adam anapoamua kutumia msiba kupata cheap political points. Katika waraka wako hapo juu, umeanza vizuri, lakini umeharibu ulipoanza kuingiza maoni yako ya kipropaganda dhidi ya CHADEMA kwa kumtumia marehemu bob Makani. Being a politician doesn't...
  12. 255Texter

    Takukuru watawachunguza mawaziri watuhumiwa! Walikuwa wapi hadi mambo yanafika hapa?

    Swali la msingi linalotupasa watanzania tujiulize, ni je, kwanini hawa takukutu wanakuwa only reactive? Kwanini hawazuii huu wizi na ubadhirifu badala yake wanasubiri mpaka maafa yatokee ndio wanajifanya kuanza uchunguzi. Uchunguzi wa nini sasa? Sitashangaa nikisikia wamewasafisha mawaziri wote...
  13. 255Texter

    Makinda ampinga Zitto hoja ya Kumuondoa Waziri Mkuu

    Ndugu January Makamba, nina maswali kadhaa kwako: 1: Je unaridhika na utendaji wa serikali (please be smart enough and answer NO!) 2: Je haukubaliani na wabunge pamoja na watanzania wengine ambao wamechoshwa na utendaji mbovu wa serikali na wanaona kuna umuhimu wa hatua madhubuti kuchukuliwa? 3...
  14. 255Texter

    CCM yahoji msimamo wa Chadema kuhusu ushoga

    CHADEMA haina haja ya kuelezea uhusiano wake na Conservatives ya UK. Jambo la msingi ni kwamba sera ya CHAEMA ni kuwa na uchumi usiotegemea fedha za wahisani, kwa hiyo chini ya uongozi wa CHADEMA hakutakuwa na haja ya kushinikizwa na nchi wahisani ili kupata fedha ya misaada. CCM na serikali...
Back
Top Bottom