Ni rahisi kuzungumza kuliko kutenda. kama majeruhi amemtambua mhusika basi tuone mtuhumiwa anakamatwa na uchunguzi usichukue muda ili haki itendeke. isije ikawa ndo ile ya kutumiana pesa kwa njia ya m-pesa ili kuua chama. mtuhumiwa asipokatwa basi lumumba movie hii itawakosti
Nape ni mtoto mdoga sana kwa lowasa hagusi hata chembe ya harufu yake. Jamaa ndo katangaza nia Akiwa mbele ya wadau wote anaowaamini. Nape lawashindwa akina Kawambwa atamuweza Papaaaaaa Mihela> akaoge.
ni kweli kwani magufuli kinachomuharibu ni overconfidence ambayo inasababishwa na magazeti. Kazi yake ni kukremu urefu wa barabara. aende zake. tunataka aje na mbinu za kuondoa foreni na kupata barabara zenye ubora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.