Recent content by 2025DG

  1. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishwa kutoka kwenye ualimu nikaenda ustawi wa jamii?

    Weka wazi ualimu upi ulionao wewe. Ustawi upi wa jamii unasema mshahara wake upo juu?
  2. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Hizo course siruhusiwi according to TCU guide book 2024/25 Mimi ninaweza kusoma bachelor za afya kwa diploma ni kama ifuatavyo. 1.Anaesthesia. 2.Nutritional. 3.Social work. 4.physiotherapy. 5.Audiology and speech pathology. 6.Occupational therapy. 7.Katibu wa afya. So course nyingi kwa nurse...
  3. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Nje na Uchungaji, Tony Kapola anafanya biashara gani ya kumpa utajiri?

    Habari. Nje na mahubiri na kujihusisha na injili je mchungaji Tonny kapola ana kitu gani kingine cha ziada maishani mwake. Lifestyle,muonekano wake na maisha yake mfano Gari lake Lile analomilliki zaidi ya million 300. Na kama tukisema sadaka mbona ni ngumu ku afford kwa sababu asilimia KUBWA...
  4. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Nurse ina option course kama. 1.Audiology and speech pathology hii course bado HAINA muundo 2.Occupational therapy HAINA muundo kwa degree. 3Anaesthesia ni course nzuri ila changamoto yake majukumu ni mengi ya kiutendaji. 4.Bachelour of Nursing kiukweli hii course nzuri ukiwa unafundisha au...
  5. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Je Kama nitaenda kusoma kitu kingine tofauti na kada yangu haitaleta usumbufu kwenye kubadilisha cheo cha muundo.?
  6. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Tena hii nataka niipige open japo changamoto yake mshahara wake wa degree ndo mshahara wangu wa diploma kama nasoma labda nisome kwa ajiri ya kuachana na nurse ina makelele mengi sana
  7. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Asante kwa ushauri nilifikiria zaidi bachelor of science nutrition and dietetics maana hii unaweza ukasoma distance learning
  8. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Hili licourse mshahara mdogo majukumu Tembo. Ndo likada halina utu. Lina majanga mengi sana sema siwezi kuyaeleza
  9. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Kwa Diploma hawatoi
  10. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Mbona Kuna watu wanarudi kabla ya hiyo miaka
  11. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Siipendi tu kazi ya nurse Sina Wito nayo. Naona kama itanitesa BAADAE
  12. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

    Habari wakuu. Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali. Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi.. Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo. 1.Mbinu...
  13. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ngoja nikueleweshe kitu. Mchakato wa ajira umeanza mbali hadi kufikia hapa. Kwenye website ya PSRS kuna sehemu tatu Advertising hapa kuna matangazo ya Ajira na ndipo mtu anaongeza received kama ushawahi kusikia received. Sehemu ya pili interview hapa kuna usaili wa kuandika lazima upate 50...
  14. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    IT mtu wetu
  15. 2025DG

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Umemaliza chuo lini naomba Nijue kwanza kabla ya kukujibu?
Back
Top Bottom