Recent content by 1idea

  1. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Kama wewe hauna hiyo akili usione kwamba kila mtu hana, Mtaani tu watu hawana elimu lakini wanatengeneza magobole, hivi unafikiri wakipata elimu na vifaa hawataweza kutengeneza silaha nzuri zaidi? Kilichopo ni watu kubweteka na kuridhika na walipo, Kuagiza nje utaagiza mpaka lini. Kama silaha...
  2. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Kweli kabisa, watu wanabweteka kwakua wanajua malipo yapo tu.Inabidi kubalika na kuweka mikakati ambayo itasaidia kuongeza ufanisi kwenye sekta za serikali.
  3. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Kwa dunia ya sasaivi hakuna anayeunda kitu kipya, wote wanatengeneza na kuboresha vile vilivyoko. Ninachomaanisha tuanze walau kujitengenezea wenyewe vyakwetu ili siku zijazo tupunguze utegemezi wa kununua silaha na hivyo vifaa kutoka nje. Utakuta tu hata visu, kamba n.k vinavyotumiwa jeshini...
  4. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Kikubwa nia, Kuna pesa nyingi sana zinapotea nchini lakini hakuna anayejali, naamini pesa sio tatizo kubwa sana
  5. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Lazima uchoke, na kwa ulimwengu wa sasaivi kufanya vile tunajiaibisha tu
  6. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Sidhani kama pesa inayohitajika ni kubwa kiasi hicho unachowaza, sio lazima kuanza kwa kutengeneza silaha nzitonzito. Hivi hata mafunzo kwa wanyama, kutengeneza bunduki na drones ndogondogo inahitajika pesa kubwa kiasi hicho?.
  7. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Bado tupo nyuma sana, bado tunaendelea kuamini kua mwanajeshi ni kuvumilia mateso, na ndio maana utaona siku ya maonyesho wanajitahidi kuonyesha mazoezi magumu.
  8. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Namaanisha waanze kutengeneza silaha zao wenyewe, ina maana kwenye maonyesho waje kuonyesha silaha/vifaa walivyofanikiwa kutengeneza
  9. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Imekuwa ni jambo la kawaida kila mara zifanyikapo sherehe za kitaifa (Sherehe za Uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar) kuambatana na maonyesho ya kijeshi. Maonyesho haya yamekua yakionyesha mbinu kadha wa kadha wanazotumia wanajeshi wakiwa vitani. Ni jambo la kuvutia na kusisimua sana...
Back
Top Bottom