Recent content by 1992

  1. 1

    MJUE Lowasa

    kuwa mmeru siyo issue. hata hivyo wameru-wamasai ni wengi mno. nenda arusha kafanye utafiti. hata hivyo hakuwahi kuuonyesha umeru wake kwa wamasai. wamasai wanalijua umeru-wake na wala siyo issue kwao kwa vile alichowasidia wamasai huko kwao kinatambulika. hata hivyo wameru na wamasi wanakaribiana.
  2. 1

    Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa Msikitini...

    yule Kijana kuwa na akili Timamu au Kutokuwa nayo si tayari alikuwa mikononi mwa dola?. adhabu siingetolewa na mahakama? kwanini watu ambao hawakushuhudia wala kuwepo kwenye mazingira ya tukio watake kuhukumu? tatizo hili ni kubwa na limejikita Kwa waislamu wenyewe (siyo uislamu). waislamu wa...
  3. 1

    Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa Msikitini...

    hapa sasa nimeanza kupata picha kwamba si Waislamu wote ni waumini wa hizi fujo. na hata mafundisho ya kiislamu hayapendekezi fujo na ghasia. ni kweli ni tatizo la ajira na elimu
Back
Top Bottom