kuwa mmeru siyo issue. hata hivyo wameru-wamasai ni wengi mno. nenda arusha kafanye utafiti. hata hivyo hakuwahi kuuonyesha umeru wake kwa wamasai. wamasai wanalijua umeru-wake na wala siyo issue kwao kwa vile alichowasidia wamasai huko kwao kinatambulika. hata hivyo wameru na wamasi wanakaribiana.
yule Kijana kuwa na akili Timamu au Kutokuwa nayo si tayari alikuwa mikononi mwa dola?. adhabu siingetolewa na mahakama? kwanini watu ambao hawakushuhudia wala kuwepo kwenye mazingira ya tukio watake kuhukumu?
tatizo hili ni kubwa na limejikita Kwa waislamu wenyewe (siyo uislamu). waislamu wa...
hapa sasa nimeanza kupata picha kwamba si Waislamu wote ni waumini wa hizi fujo. na hata mafundisho ya kiislamu hayapendekezi fujo na ghasia. ni kweli ni tatizo la ajira na elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.