Recent content by 19871990

  1. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Una haki ya kuongea hivyo kama bado hajakukuta ila siku yakikupata ndo utajua kuna matapeli na wengine wenye shida kweli
  2. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Kwahiyo unaona busara kabisa kunishauri nijiuze ili niweze kuishi? Mungu aendelee kukusamehe tu
  3. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Mungu akusamehe that's all I can say
  4. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Asante mkuu kwa moyo wako [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
  5. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Kama hujawahi kukosa utaona elf 5 kama hela ndogo sana ila siku ukikosa elf moja utaiona kama elf 10
  6. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Nimepata mkuu kuna mtu ameshanisaidia
  7. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Nashukuru mkuu kuna mtu ameshajitokeza kunisaidia
  8. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Ndio mimi teacher sina mpenzi kwa sasa my love story is really sad sipendi hata kukumbuka
  9. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Tayari nadaiwa ndo iliyonisogeza mpaka leo
  10. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Kama huwezi kunisaidia kwa nini usipite kimya tu kuliko kuniongezea stress wakati tayari ninazo za kutosha[emoji17] [emoji17] [emoji17] daah binadam tuna kazi jamani
  11. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Hakuna kitu kama hicho
  12. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Nahitaji elf 5 tu ya kunisogeza siku ya mshahara
  13. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Kumbuka mimi natafuta mkopo nitarudisha kwa mtu atakaenipatia
  14. 1

    Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

    Uaminifu ninao wapendwa ila kwa atakae penda kunisaidia kweli naomba anione pm nimpatie namba maana kuianika hapa sio vizuri sana. Nikipata elf 5 tu nitashukuru angalau leo na mimi nile hata ugali na dagaa
Back
Top Bottom