Recent content by 0762713479

  1. 0762713479

    Naomba Msaada, mekosa ada laki tatu

    Jamani nilipata michango ya mawazo ila imeshindikana nimenitahidi Kwa kila namuna. Naombeni ushauli nataka niache chuo
  2. 0762713479

    Naomba msaada jamani

    Mimi ni kijana ninasoma ngazi ya diploma mwaka wa kwanza katika chuo cha ualimu tabora nachukua CHEMISTRY and BIOLOGY. Nilitafuta shule nikafundisha nikapata hela kidogo ya kuanzia muhura wa kwanza wa masomo. Mwezi wa tatu tulifunga chuo mwezi mmoja nikaenda nyumbani kutafuta ada . Saizi...
  3. 0762713479

    Naomba Msaada, mekosa ada laki tatu

    Niko chuoni tabora saiz. Chuo kimefunguliwa Juzi ila me nimefika Jana
  4. 0762713479

    Naomba Msaada, mekosa ada laki tatu

    Name: Jackson M mabagala Reg NS0710 Coarse : DS SCIENCE Subject : chemistry and biology My account number :51010031208 Account ya chuo : 5101100072 The principal tabora teachers college
  5. 0762713479

    Naomba Msaada, mekosa ada laki tatu

    Nimekoswa ada apa nimelipa laki mbili nimeambiwa huwez kusajiliwa adi nilipe hela yote nimekuja Jana chuo kutokea ukerewe please Wana jf nisaidieni
  6. 0762713479

    Naomba Msaada, mekosa ada laki tatu

    Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ualimu Tabora mwaka wa kwanza ila nimekosa ada laki tatu. Nilikuwa nadaiwa laki tano ila nimeangaika mtaani nikapata laki mbili. Nisaidieni jamani maana hali mbaya hapa chuoni.
Back
Top Bottom