Mkuu
Kwa jinsi Mungu alivyo Mtakatifu, akichunguza maisha yako (na yangu) atatukuta na dhambi nyingi tu, kwa kifupi hatutakuwa tofauti na hao 'waarabu' unaowataja. Na kwa kuwahukumu hao, unapalia makaa kichwani pako mwenyewe. Lakini ikiwa humkumbushi Mungu kuhusu makosa yako mwenyewe, mbona...