Nina uhitaji wa laptop. Najua madenti wa chuo mpo juu ya mawe. Hebu njoo na offer zenu tufanye biashara.
Please give brand and features of your laptop.
Karibuni wote
Nauza vitenge sh 27000 tu pande tatu kwa kitenge kimoja napatikana Dodoma Nkuhungu karibuni ni kutokea Congo na Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga
Urefu 27m
Upana 22m
Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum
kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji viwanha ili...
* Nyumba ipo nyuma ya sheli ya Lusana dakika 3 kufika hapo
* Vyumba Vitatu, kimoja kina choo ndani(MASTER)
* Sebule
* Jiko
*Tiles, slide window)
Umeme upo
Maji kuchota kisimani (Kisima kipo 30...
Je wahitaji mkopo kwa ajili ya shule yako
kama;
-Kuboresha majengo
-Vifaa kama dawati
-Usafiri
-mafunzo ya walimu n.k
......Njoo ketu Opportunity Tanzania Ltd kwa aliye Iringa na upate mkopo...
-Used for 2 month.
-Haina tatizo lolote la kiufundi utaruhusiwa kutest.
-Utapewa contact na kila kitu ikikuharibikia unarudisha,hatukuuzii kijanja barabarani,simu ipo dukani.
Na kuna Samsung S10...
Nasaga soya mbegu kuwa soya mafuta bei maelewano.Kama unahitaji kusagiwa lakini kama unahitaji iliyotayali inapatikana bei kilo 1 @1,500/=tu.locatio (mbagala chamazi) karibuni.
kwa mawasiliano...
Habari?
Kwa wale wapenzi wa kusoma riwaya mbalimbali za marehemu Mtobwa, tunapenda kuwajulisha kuwa vitabu hivyo vinapatikana Arusha na Dar es salaam.
Vitabu hivyo ni kama ifuatavyo;
Malaika wa...
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 3 tu.
Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml...
Habari zenu WanaJamii wenzangu,
Mimi naitwa Hamza naishi Zanzibar. Shinda yangu kubwa ni kujua vifungashio vya mtindi vinapatikana wapi.
Naomba anifahamishe
s
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyoeleza hapo macho yangu yanauma ninapokuwa nafanya kazi zangu ambazo zinanilazimu kuwa kwenye PC kwa muda mwingi sasa nahitaji kujua kwa hapa Bukoba wapi naweza ipata
Sent using Jamii...
Habari wakuu,
Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo
1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000)
2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000
3.laptop ya hp - 300,000...
Habari JF!
Nataka kufanya finish kwny nyumba yangu kutokana na hali ya hewa iivyo ss nimeona bora niweke PVc gutter hivyo nahitaji kujua vifaa vinavyohitajika na gharama yake kwa bati yenye urefu...