Eneo kubwa na zuri linauzwa pamoja na nyumba yake.
Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21.
Ndani ya eneo kuna nyumba yenye vyumba vinne,viwili ni master na vingine ni vya kawaida,sebule kubwa pia na...
Habari JamiiForums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo Mbezi, Msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master...
Ipo Kibada KISARAWE ll kigamboni
Ina vyumba vitano vitatu masters
Sitting room dining room jiko stoo
Na public toilet bei milioni 200
Mzungumzo pia yapo ukubwa wa kiwanja SQM 883 ina hati miliki...
Nyumba ya ghorofa moja Inauzwa milioni 300 maongezi yapo Ipo bunju B - Dar es salaam
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
▫Sitting room zipo mbili chini na juu
▫Dining room
◇...
Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo)
Vyumba vitatu(master zipo 2)
Seble na jiko+choo cha public ndani
Eneo ni 23×33
Umeme upo, maji yapo
Km 2 toka moro road
Ndo inafanyiwa finishing
Ipo...
NYUMBA HAIJAISHA INAUZWA
Eneo ukubwa : 448 SQM
Jiko
Two bedroom ( one master)
Dinning
Open kitchen
Public toilet
Location: Madale mbopo
Bei : 20,000,000 Negotiable
1.5km from madale road (...
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni...
Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora
*Room 4 (Kimoja master)
*Sebule
*Jiko
*Public Toilet
*Umeme✅
*Maji✅
Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp...
Nyumba ipo mtaa wa kangaye kata ya nyakatNYUMBA INAUZWA IPO MTAA WA KANGAYE-NYAKATO-MWANZAo-mwanza ipo karibu na shule ya secondary KANGAYE, ina vyumba 3 na sebule, Ndani Kuna lipu na Bomba za...
Ninauza nyumba ipo Mwanza maduka 9, maji na umeme vipo, nyumba ipo jirani na barabara kuu ya maduka 9 kiloleli.
Bei naanzia 16 Milioni, maongezi kidogo yapo.
Simu 0717072172.
Nyumba inauzwa Magomeni
Makuti A, Mtaa wa msikiti Mdogo
Documents: Mirathi
Skwata
Meter 120 main road, tandale road.
Bei 125milioni (mazungumzo yapo)
Nipigie +255712347749 +255765755455
Mwandege wilaya ya Mkuranga.
Mkoa wa Pwani, Mwandege.
Nyumba ina vyumba vitano na sitting room.
Ina choo cha kudumu/shimo.
Nyumba ipo kwenye lenta bado kupaua tu.
Ipo kwenye Barabara ya...
Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road.
Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza...
Ipo kibaha visiga,nyumba ya kisasa,
Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko,
Uwanja mkubwa squire meter 800
Ina fensi ya kisasa.
Umeme na maji vipo,
Umbali km moja kutoka morogoro road...
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.
Limejengwa ndani ya eneo...
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet)
Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank.
Uani...
Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.