Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jipatie vitenge grade 1 kwa bei rahisi kutoka kwetu kwa sh 28,000 tu za kitanzania. Kwa hapa Dar tunafanya delivery na mikoani tunatuma kupitia mabasi kuanzia pieces 5 na gharama za usafiri...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Ni matumaini yangu wana JF mu salama kabisa, nawakaribisha kwenye huduma tajwa hapo juu kwa wahitaji wote wa website za aina zote, inaweza kuwa kwa biashara ndogo ya kati au kubwa, inaweza kuwa...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Wana JF, Natafuta fundi mzuri wa kuniwekea sakafu za tarazo mjini dar-es-salaam. Kwa wale wasio jua sakafu za tarazo niweka picha hapo chini. Please share contact number kama unamjua fundi anaweza...
0 Reactions
12 Replies
16K Views
Nahitaji chumba cha kupangisha maeneo ya Magomeni,Morroco,Upanga,Kinondoni,Mikocheni, Kiwe ni master. Mawasiliano :0752156818
0 Reactions
9 Replies
1K Views
JE UNGEPENDA TUKUSAIDIE KUSAFISHA.⁣ Nyumba au Ofisi yako?⁣ ⁣ [emoji736] NYUMBANI ⁣ Kusafisha nyumba nzima, choo,bafu, jiko. Nk⁣ ⁣ [emoji736] OFISINI ⁣ Kusafisha ofisi nzima viti , kudeki, vioo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa,. Naombeni kwa zinapopatikana hair dryer za mkono kwa bei ya jumla. Nataka kwa hapahapa Dar na si mpaka niweke order kutoka China. Kwa mwenye kufahamu.naomba anielekeze.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Nataka kununua hii blender!kwa matumizi ya nyumbani!je ni Tsh ngapi?!na inatumika kwa matumizi yapi na yapi!!na ubora wake!!nipo mbezi luis!! AU kwa anaejua blendar nzuri ambazo hazisumbui...
1 Reactions
18 Replies
13K Views
Bei :20000Tsh Mahali : Kimara korogwe, Cont: 0745098591
1 Reactions
4 Replies
759 Views
Natafuta samaki SATO na SANGARA kwa bei ya jumla.Mahitaji yangu ni Sato kg 120 Sangara kg 120 kwa wiki. Napendelea zaidi Samaki wa Msoma. Nipo kigamboni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zinafaa kwa matumizi ya _Cafe _Grocery _Kitchen _garden. Na Nk. Karibuni Bei ni 45k on each
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau kwema polen kwa majukumu,jamani kama kuna mtu anajua sehemu nzuri ambapo panaweza funguliwa car wash au kama kuna car wash sehem mtu anapauza kuna Ndugu yangu anatafuta sehem hiyo afanye...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau, nauza aborder multimedia system AB3822BT kwa shilingi 155000/= Mawasiliano : +255783696253. Nipo beta barabara ya chang'ombe Dar es salaam
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Vitambaa set moja ni sh.70,000 kwa 80,000. Mto na foronya moja ni sh.15000 karibuni sana wateja ninapatikana Tunduma Songwe. Kwa mawasiliano ni kupitia namba 0758267513.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nauza kuku na mayai ya kienyeji. Bei: Mayai trey 12000 kuku jike13000 jogoo 14000 ukichukua kwa wingi bei inapungua. Mahali: Nipo Dodoma, ila popote natuma. Mawasiliano: 0620186781 Karibuni
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO, Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja? Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system Accounting system...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Fremu hizo moja 25,000/= ukichukua mbili 40,000/= Fremu za A4 ni 15,000/= Unafikishiwa Hadi nyumbani. Lakini pia Kama unahitaji fremu ya picha tofauti na hizo. Unasema tunakutengenezea...
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Nahitaji machine ya kukata nyama (meat saw) kwa mwenye nayo wasiliana nami 0746 386 205
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, heshima kwenu, tafadhali naomba nisaidiwe kujua maeneo ambayo ninawwza kupata vocha za jumla za mitandao ya Tigo na za airtel. Nilipata za voda zinazouzwa 500 nilipata kwa 450 na zile...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Sehemu :Bamba,Mwongozo Kgamboni, kimepakana na nhc ukubwa : 632sqm, umiliki : Kina hati Barbara inafikika mpaka kwenye kiwanja tambarale, kilomita chache mpka bahari ya hindi bei :17M mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…