Jipatie vitenge grade 1 kwa bei rahisi kutoka kwetu kwa sh 28,000 tu za kitanzania.
Kwa hapa Dar tunafanya delivery na mikoani tunatuma kupitia mabasi kuanzia pieces 5 na gharama za usafiri...
Ni matumaini yangu wana JF mu salama kabisa, nawakaribisha kwenye huduma tajwa hapo juu kwa wahitaji wote wa website za aina zote, inaweza kuwa kwa biashara ndogo ya kati au kubwa, inaweza kuwa...
Wana JF, Natafuta fundi mzuri wa kuniwekea sakafu za tarazo mjini dar-es-salaam. Kwa wale wasio jua sakafu za tarazo niweka picha hapo chini. Please share contact number kama unamjua fundi anaweza...
JE UNGEPENDA TUKUSAIDIE KUSAFISHA.
Nyumba au Ofisi yako?
[emoji736] NYUMBANI
Kusafisha nyumba nzima, choo,bafu, jiko. Nk
[emoji736] OFISINI
Kusafisha ofisi nzima viti , kudeki, vioo...
Wapendwa,.
Naombeni kwa zinapopatikana hair dryer za mkono kwa bei ya jumla.
Nataka kwa hapahapa Dar na si mpaka niweke order kutoka China.
Kwa mwenye kufahamu.naomba anielekeze.
Nataka kununua hii blender!kwa matumizi ya nyumbani!je ni Tsh ngapi?!na inatumika kwa matumizi yapi na yapi!!na ubora wake!!nipo mbezi luis!!
AU kwa anaejua blendar nzuri ambazo hazisumbui...
Natafuta samaki SATO na SANGARA kwa bei ya jumla.Mahitaji yangu ni Sato kg 120 Sangara kg 120 kwa wiki. Napendelea zaidi Samaki wa Msoma. Nipo kigamboni
Wadau kwema polen kwa majukumu,jamani kama kuna mtu anajua sehemu nzuri ambapo panaweza funguliwa car wash au kama kuna car wash sehem mtu anapauza kuna Ndugu yangu anatafuta sehem hiyo afanye...
Habari wadau, nauza aborder multimedia system AB3822BT kwa shilingi 155000/=
Mawasiliano : +255783696253.
Nipo beta barabara ya chang'ombe Dar es salaam
Vitambaa set moja ni sh.70,000 kwa 80,000.
Mto na foronya moja ni sh.15000 karibuni sana wateja ninapatikana Tunduma Songwe.
Kwa mawasiliano ni kupitia namba 0758267513.
Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO,
Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja?
Websites,
Android Apps,
Domain Names,
ERP system
Accounting system...
Fremu hizo moja 25,000/= ukichukua mbili 40,000/=
Fremu za A4 ni 15,000/=
Unafikishiwa Hadi nyumbani.
Lakini pia Kama unahitaji fremu ya picha tofauti na hizo. Unasema tunakutengenezea...
Wakuu, heshima kwenu, tafadhali naomba nisaidiwe kujua maeneo ambayo ninawwza kupata vocha za jumla za mitandao ya Tigo na za airtel.
Nilipata za voda zinazouzwa 500 nilipata kwa 450 na zile...
Sehemu :Bamba,Mwongozo Kgamboni,
kimepakana na nhc
ukubwa : 632sqm,
umiliki : Kina hati
Barbara inafikika mpaka kwenye kiwanja tambarale,
kilomita chache mpka bahari ya hindi
bei :17M
mawasiliano...