umeshapata chumba??Kinyerezi ni mbali sana na naposomea.naitaji eneo lolote karibu na posta
Ukikaa unapotaka kwenda posta nauli 400 na ukikaa buza nauli ni iyo iyo 400 heri ukae buza kwa chumba cha 45Kinyerezi ni mbali sana na naposomea.naitaji eneo lolote karibu na posta
Kinyerezi sehemu gani,Pia kina specification gani?Mkuu mambo vipi kama unaweza kuishi kinyerezi kuna chumba ninacho kikubwa tu kina nafasi nzuri tuwasiliane na ni eneozuri sana kuishi.
mtaa wa kanga kama umeshawahi kufika ni chumba kikubwa ambacho ukihitaji unaweza ukaweka na partition ukapata vyumba viwili na sebure unaiweka katikati ila choo cha nje pako juu hakuna mafuriko wala buguza yoyote kina tiles chini juu kina gypsum nzuri tuKinyerezi sehemu gani,Pia kina specification gani?