Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa...
1 Reactions
0 Replies
785 Views
Nauza nguo za mtumba za wasichana zenye ubora na bei rahisi kuanzia 5000-15000 Napatikana Sinza Mori Kwa mawasiliano 0624041646
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Call/WhatsApp 0788622610 Brand New popsicle machine Ina tray 2 (40 popsicles each) Inazalisha pisi 80 kwa dk20 Inauwezo wa kuzalisha zaid ya piece 5000 kwa siku Bei:3,300,000 only Ukinunua...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nauza Note 4 mbichiiiii kabisa kwa bei poa 150000 tu (fixed) simu imenyooka na haina kipengele chochote. .....Camera yake iko saaafi clear 16MP Nipigie 0676723888
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza nguo za kike na kiume aina zote. Tunauza tsherts, mikanda, wallets, mashati, gauni, suruali n.k Waweza fika dukani k/koo mtaa wa manyema mkabala na jengo la ddc, uone ni jinsi gani...
1 Reactions
107 Replies
17K Views
Ukiachana na mambo ambayo watu wengi wanaangalia wanaponunua magari used ambapo mengine ni madogo. Kuna mambo ambayo huwa ni ya kiufundi zaidi ambayo huwa ni vizuri pia yakaangaliwa. Kwa watu...
9 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza kama una eneo halina kazi naomba tukutane, ili tuone kama tunaweza kushirikiana tufuge nguruwe kama washirika mimi nina mtaji wewe eneo. Eneo...
1 Reactions
3 Replies
943 Views
Kuna mzigo wa kutosha Sana ata tani kumi utapata. Ukubwa wake unaanzia sauzi ya betri kubwa ya radio na zipo mpaka 5kgs/stone.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari? Kama kuna mwenye kuhitaji gari la sherehe au kwa ajili kuwapeleka watoto na asubuhi wafanyakazi kuwatoa majumbani na kuwapeleka ofisini kama posta au Kariakoo. Tuwasiliane kwa namba 0686...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nawakaribisha dukani kwangu Manzese Tip top kwa bidhaa bora za handbags na pochi za wadada. Simu 0759891571
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanki la maji aina ya Polytank linauzwa Liko Dar lakin mnunuzi utaletewa mpk ulipo Bei 1,500,000 Tsh Karibuni.
0 Reactions
27 Replies
22K Views
Ninauza simu yangu Samsung c8 Storage 32gb Ram3gb Fingerprints Display inch 5.5 Version 7.1 Battery 3000mAh #0693363895 Bei 260 tu
0 Reactions
3 Replies
962 Views
KRK NCH 8 M8 LOCATION: NZEGA TSH:750,000/= 0620307124 sms only 0685825715 whatsap
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hallow wana jamvi nimewaletea mashine nyingine ya kuranda na kuchana mbao yenye uwezo mkubwa baada ya ile nyingine kununuliwa bei ni sh. 2,800,000 karibu tuwasiliane bei ni rahisi sana tofauti na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapi wanauza mashine za kuosha vyombo dish washer kwa Dar ? Kama unaweza kujua na bei tafadhali nisaidieni
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Iko arusha Bei 70,000 0782100623
0 Reactions
1 Replies
648 Views
Habari Wakuu, Niko Dar, naulizia Duka Wanalouza Materials ya kutengeneza cream au lotion. Piga 0713039875 kama walijua.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Toyota Fancargo Year:2001 Engine:cc 1290 Km:80,000+ Price:5.3M bei inazungumzika Contact:0765 290 727
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari Smartphone inahitajika bei elekezi 120,000/= iwe infinix au tecno Location MBEYA MJINI
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Kwa heshima zote, nahitaji fundi atakaye nifundisha ufundi wa ujenzi, au kupaua au pia finishing na decoration....ambaye nitamlipa posho ya Maji kwa mwezi. Natanguliza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…