Habari zenu,
Kama title inavyosema, nina duka la vinywaji baridi na moto, ila nimeamua kuuza kutokana na kukosa msimamizi na shughuli zangu zimekuwa zinanibana sana.
Hivyo Ninauza
1. Containter...
Pata ramani nzuri na za kisasa zaidi
Kwa wachoraji waliobobea katika maswala ya uchoraji ramani na ujenzi pia tutakupa ushauri kuhusu maswala ya ramani na ujenzi kwa ujumla
Mawasiliano...
KARIBU KENZO ACCESSORIES
Kenzo accessories ni wauzaji wa Accessories zote za simu, saa na Smartwatch tunauza jumla na rejreja
ACCESSORIES TUNAZO UZA
📌Smartwatch
📌Saa za kawaida
📌EarPods...
Jipatie pikipiki aina ya HONLG, hii kwa lugha nyingine unaweza kusema ni chopa,ikitembea imetembea mf. Cc 250 ukiondoka na basi toka Dar kwenda Kwanza,basi litakukuta ulishasinzia kabisa.
HONLG Cc...
Cheni Original Haipauki | Original Genosos necklace
Bidhaa hii ni kutoka Japan,
Original Genosos Necklace haipauki kwa gharama ya Elfu hansini tu.
Free delivery in Dar es salaam.
Mikoani...
waheshimiwa habari
tunauza desktop za aina zote bei chee
hp corei5 ina ram 4gb hdd 1000gb(1tb) monitor nch 17 accer nk(full) desktop lak 350000..ukitaka tuongeze ukubwa ni ela yako tu
hp...
Ney ubuyu wa Kishua 😋
Ubuyu Mtamu wenye ladha nzuri ambao hachubui Mdomo unapatikana kwangu
Ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 na Ndoo kubwa 60,000
Kwa...
Kunukia vizuri ni muhimu mno aisee...tuna Perfumes kali kabisa, Long Lasting na Bei Kitonga[emoji817].
Perfumes zetu compliments lazima upate kwa sababu zinanukia vizuri, zimepoa na zinakaa...
We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako
Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo...
Karibuni KENZO FURNITURE tunatengeneza furniture bora na za kisasa
[emoji419]Tunatengeneza furniture za aina zote
[emoji184]Tv stand
[emoji184]Tv wall unit
[emoji184]Sofa [emoji934]...
Nauza Bata Mzinga wawili , Kuku aina ya Brahma wawili na Kuku aina ya Kuchi wawili wote wakiwa na umri wa miezi minne bei maelewano napatikana Dumila Morogoro Kwa mawasiliano piga simu 0655760381
Nauza king'amuzi cha Startimes kwa Tshs 20,000 tu. Kipo na Adapter yake ya umeme pamoja na remote controller yake.
Kimetumika miezi mitano peke yake
Nipo Mbezi Luis karibu na Stand ya mabasi ya...
Bei 1,180,000/=
mashine ni mpya
Mashine ya kukamua juisi ya miwa (Ya umeme)
🔴Ina uzito 65kg
🔴Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani 220V, motor 0.75KW
🔴ukubwa wake 430*350*920mm
🔴material yake ni...
Tunauza mashine za kuchakata malisho ya mifugo kama vile kuku.
Mashine hii inauwezo wa kuchakata mabua na majani hadi kuwa vipande vidogo dogo sana.
Inauwezo pia wa kusaga...
Kifaa cha kubadilisha lugha kinachotumia mfumo wa AI kinabadilisha lugha yoyote kwenda kwenye lugha yako mtu anapoongea vinatumika kwenye mikutano ya kimataifa kwa viongozi, wafanyabiashara, n.k...
Tunafanya Printing.
1. PICHA MBAO
2. PICHA ZA FREMU YA KIOO
3. SAA yenye PICHA YAKO
Picha kwa ajili ya KUMBUKUMBU yako, Familia.
Picha kwa ajili ya ZAWADI kwa Umpendae
Picha kwa ajili MAPAMBO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.