Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mitandio ya Chiffon inapatikana. Ukubwa: Medium Bei: sh 6,000/= Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Mashine ya mayai 30 ipo kwenye offer kila mtu apate bei ni 150,000/= TSh. Zipo pc 100 tu. Karibuni Tupo Dar es Salaam Tegeta kwa Ndevu darajani njia ya kwenda jeshini. Wateja wa mikoani...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Naitafuta sana na Nahitaji anaejua aniambie au Tz zinaingizwa kimagendo maana nilikunywa siku 1 tu
2 Reactions
8 Replies
738 Views
Habari zenu, nahitaji Vitz Old Model inayotumia mtungi wa gas na mafuta, nipo Dar Es Salaam, mda wowote nakuja kuicheki gari, nipo serious kiasi kwamba hata leo leo tunaweza kumaliza biashara...
1 Reactions
0 Replies
367 Views
Karibu upate vifaa vya umeme vya kisasa na vyenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya biashara yako! Tunauza jumla na reja reja flash, cover, chaji na USB kwa bei nafuu kabisa, zenye kuhakikisha...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Wakuu, maeneo gani kwa mji wa Lindi au mji wa Mtwara naweza kupata viwanja vya kujenga nyumba za kupangisha. Viwanja ambavyo watu wanajenga nyumba za kisasa na za kueleweka
0 Reactions
4 Replies
314 Views
For more information call or Whatsapp 0784 829565 0767 833345 @prathlimited
0 Reactions
1 Replies
217 Views
🔥🔥🔥🔥OFFER OFFER OFFER🔥🔥🔥🔥 ‎ ‎ NOKIA 106 New ‎Jumla:Tsh18,000kuanzia pc10 ‎Rejareja:Tsh24,000/= ‎Brand: new ‎Batter: 1000mAh ‎Laini mbili ‎ ‎ NOKIA 105(2023)...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
HABARI ZA MDA HUU NDUGU ZANGU WAPENDWA... Nauza vitu hivi tayari kwa matumizi: 1. TV ya Solar 32 inch – , bei: Tsh 170,000 ✅ 2. Kioo cha Computer HP 24 inch – Safi, nzuri kwa kazi yoyote...
0 Reactions
4 Replies
362 Views
karibu ujipatie ULTRAPODS MAX wireless 5.3 IP4 waterproff 95 LED Digital Display Noise cancelling Hi-Res High Quality Sound inarangi 4 blue,pink,white and black BEI TSH 20000/= TU huduma ya...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Nauza Earpods Ni wireless zipo 5opc bei 20000. Nipo Kariakoo Dar Es Salaam. Nichek 087442427363.
2 Reactions
0 Replies
165 Views
Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580. Price...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Nauza viatu vizuri vya kiume Mikoani tunatuma kwa uaminifu na tra Kodi tunalipia kwa uaminifu mkubwa Kiatu namba moja hapa Bei 90,000 tu namba 40 Hadi 46
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Unahitaji huduma za kitaalamu za survey? Tunakuletea huduma zifuatazo kwa usahihi na weledi: 1️⃣ Survey ya Viwanja na Mashamba ✔️ Kwa mchakato wa hati miliki ✔️ Kufufua na kurekebisha mipaka ✔️...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
Duka la dawa na vipodozi linauzwa DSM karibu na airport.
3 Reactions
52 Replies
2K Views
Nahitaji IST Old Model namba ya usajili yoyote ile but yenye vigezo vifuatavyo: 1. Body iwe nzuri 2. Mwaka wa usajili kuanzia 2017 kuendelea, ili niweze kulipia bima kubwa. 3. Iwe na AC 4. Engine...
0 Reactions
6 Replies
498 Views
Plot details: 700sqms. Location: City Center. Land Status: Demolished and ready to build. Size: 680-700sqms. Permit: Residential & Commercial. On the main road (prime area). Price: Tsh 4.5B...
0 Reactions
2 Replies
400 Views
Mko poa maboss zangu.. Karibu tukupendezeshee seble yako kwa showcase za kisasa. Zipo za kuhamishika na zipo za kujengea ukutani. Bei hutokana na ukubwa uutakao boss.. Za kuhamishika zinazobeba...
1 Reactions
0 Replies
317 Views
Katika makala hii kama unataka nikutizamie mambo yako: hii ni kwa wale wanaohitaji kutazama mambo yao ikiwemo, Haoa tutaweza kutizama: Nyota yako, Bahati yako, Kipato chako, Nyumba yako na...
15 Reactions
163 Replies
71K Views
Back
Top Bottom