Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

CAR SOLD. Thank you all.
0 Reactions
7 Replies
377 Views
Viwanja hivyo viko wilaya ya Kasulu mkoa wa Kigoma, vinauzwa kwa bei nafuu kabisa. Viwanja vilishapimwa. Mawasiliano zaidi piga no: 0758036032 Karibuni wote..
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Contact 0620813101 karibuni
0 Reactions
12 Replies
486 Views
Habari za jioni. Natafuta wachimbaji wawili wadogo wa dhahabu ambao wameshawahi kuuza mzigo mara 2 au zaidi. Kuna biashara nzuri ya kufanya. Mwenye connection aniunganishe naye tafadhali !!
0 Reactions
2 Replies
213 Views
Mitandio ya Chiffon inapatikana. Ukubwa: Medium Bei: sh 6,000/= Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja...
0 Reactions
0 Replies
128 Views
Wakuu habari za majukumu ya kifamilia,kijamii na kitaifa! Natumai hamjambo. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kuna nyumba huku tanga mjini mtaa wa magomeni A inauzwa,iko na 3 bedrooms,1...
0 Reactions
6 Replies
368 Views
Habari Katika harakati za kujitafuta nimeamua niingie kwenye ujasiriamali ambapo natengeneza uji mzuri wa uji wa lishe ambao una faida kiafya kulingana na viambata vyake ambavyo nimetumia UNGA huu...
0 Reactions
2 Replies
270 Views
Natafuta kazi mimi kijana elimu yangu form six msaada jamani maisha yamenibana sana kazi yoyote
1 Reactions
0 Replies
156 Views
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta. Mahali: Kimara Temboni. Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale. Ukubwa wa Eneo: SQM 308. Bei...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
Karibu wa huduma ya ufundi wa vifaa vyote vya electronics na umeme, kwa ufundi wenye uhakika bila ubabaishaji na uaminifu wa hali ya juu. Vifaa hivyo ni kama;- Tv aina zote, Projectors...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Je, unatafuta zawadi ya kipekee au mapambo ya ukuta yatakayoboresha nafasi yako? Tunachapisha picha zako pendwa kwenye mbao zenye ubora wa hali ya juu Ubora : Picha zako zinaonekana hai na za...
0 Reactions
1 Replies
231 Views
TOYOTA RAV4 OLD 1999 Engine CC 1990 123,000km Petrol Automatic Sports rims Full documents Price Tsh 10.5m ☎+255626682228
0 Reactions
2 Replies
305 Views
Wakuu tunatafuta kiwanja kibaha karibu na morogoro road isiwe ndani ndani na naomba mnitajie na. Bei yake kabisa hapa na ukubwa MODS: naomba msiupeleke huu Uzi sehemu yeyote nataka nipate...
1 Reactions
11 Replies
495 Views
Vitu ambavyo nanunua ni kama Vitanda Makabati Magodoro Masofa AC Frizer Friji. Na vinginevyo Nipo:Ubungo Mawasiliano: 0718646066
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi...
12 Reactions
299 Replies
16K Views
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
1 Reactions
1 Replies
351 Views
Tunauza Used Kontena (used Shipping containers) hapa dar es salaam unaweza kutupigia 0674252659
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 18,000/= Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. - Corner House. Features: -3 Bedrooms(1 Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size...
0 Reactions
1 Replies
258 Views
Back
Top Bottom