Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
Hello Team.
On behalf of our client, We are Looking for a 1 bedroom house with kitchen for renting.
Location should be:Mikocheni, Ada estate, Morocco.
The client budget is Tsh 500,000 maximum...
Karibu kwa huduma ya ufundi wa vifaa vyote vya electronics na umeme, kwa ufundi wenye uhakika bila ubabaishaji na uaminifu wa hali ya juu.
Vifaa hivyo ni kama;- Tv aina zote, Projectors...
USAJILI WA JINA LA BIASHARA NA KAMPUNI (BRELA)
Rasimisha jina la biashara yako kisheria, upate faida nyingi.
Mimi ni mbobezi wa kufanya application Brela kwa ajili ya usajili wa jina la biashara...
Section 74 (1) of VAT Act, Cap 148 (R.E 2023) fall within the scope of partial exemption when the taxpayer has supplies of both a taxable and exempt. Output VAT cannot be charged on exempt supply...
Section 74 (1) of VAT Act, Cap 148 (R.E 2023) fall within the scope of partial exemption when the taxpayer has supplies of both a taxable and exempt. Output VAT cannot be charged on exempt supply...
Plot For Sale.
Plot details: Prime area, along tarmac road near new SGR train station, near Dar port.
Location: Gerezani street/Sokoine drive.
Size: 903sqms.
Permit: Residential & Commercial...
Juzi site engineering wa wells technology alipokea simu ya mdau baada ya kuona kazi zetu humu JF ilikuwa ni ya kijana mjasiriamali wa kilimo cha kisasa huko Mlandizi Pwani alikuwa anahitaji kisima...
Ndugu wajumbe,
Pombe hii spirit ambayo imejipatia umaarufu mkubwa mtaani kwa siku za karibuni ambapo inazalishwa hapa hapa Tanzania mkoa wa Shinyanga. Wakati watu wakiendelea kufurahia radha...
Nyumba yenye vyumba vitatu kimoja master, Sebule, Jiko, Dinning na store Inauzwa Makongo juu.
Nyumba haipo mbali na Barabara kuu iendayo Goba na mlimani city! Nyumba ipo ndani ya fence yenye...
Vivanja 2 vinauzwa Kimara stop over.
Ni Kilometa 4.5 Kutoka Kituo cha basi Stop Over, Upande wa Kulia kama unatoka Ubungo.
Ukubwa wa viwanja
Sqm 903-Mil 38
Sqm 1117-Mil 43
Vimepimwa ila hati...
Tunauza bidhaa Bora & Original kwa Bei nafuu sana!!
Tunakusaidia Kujua bidhaa Original na zenye Ubora kwa hali Ya Juu sana! mawasilino zaidi
Mimi nauza online(winga) sina duka. soko la...
Wakuu nina Bat ziko Karibu 100 nauza ni gauge 28 zimepigwa msumari mara moja tu hazina Kutu zinaonekana kama mpya kabisa. bei ni elfu nne, elfu tano na elfu kumi na nae na nyingine elfu ishirini...
Jina la Biashara: Umuhimu, Namna ya Kulisajili na Faida Zake:D:D
1. Utangulizi kuhusu Jina la Biashara
Jina la biashara ni utambulisho rasmi wa biashara au kampuni inayotambulika kisheria. Jina...
Natafuta vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 28 kwa ajili ya kusimamia akaunti za biashara kwa kutumia mfumo wa roboti (robot) katika mazingira ya ofisi iliyopo Kinyerezi Mwisho, Dar es...
Kijana wangu anahitaji pikipiki used (iliyoko kwenye hali nzuri) cc150 ili iweze kupanda milima ya Rombo ikiwa imepakia mzigo (Isiwe Boxer)
IWE NA UMILIKI HALALI.....Offer yake ni shs 1mil cash...
Whitegoat is the fashion brand design with new look to the all level of design and quality on digital design at the new generation class (Logo,fashion cloth design,business financial)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.