Kwema wakuu
Nahitaji Meza ya kuuzia biashara yangu (nitaanza na mitumba) kwenye maeneo niliyoyataja, Ilala au Karume au Kariakoo.
Nahitaji Meza hata kama ni ya kukodi kwa masaa kadhaa kwa siku...
Hi
Husika Na Kichwa Cha Habari
Nauza Toyota 1HZ Engine na Gear Box Yake Tsh Million 8,500,000 /=
Engine nzima haina tatzo lolote ilikua kwenye Land Cruiser GX 105 nikabadilisha nikaweka 1HDT cz...
Bei/Price TSH 15.9M
Call +255 747 999 927
BMW X1
Year: 2013
Engine: 1990Cc
L O W MILEAGE
Transmission: AUTO
Fog Lights
Tronic Gear
Alloy Wheels
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
Habari
Naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu
Nauza mashati ya kiume size zote Kwa Bei nafuu
Nafanya deliver mikoani na ndani ya dar es salaam
Karibuni sana
0686153806 Whatsapp
Bei ya...
Mkulima okoa muda/nguvu kazi na gharama katika kilimo chako.
Mifugo Plus Group tumekuletea min power tiller mashine ya kisasa yanye uwezo wa kulimia maeneo yote penye mawe,kichanga,udongo...
Aisee usikubali kuikosa hii jipatie godoro kwetu
Uletewe mpaka ulipo popote ndani ya Dar bureee!
Call/SMS 0657050357
Vita Foam ipo katika ofa kali
5x6 inchi 8 ni 180000 tu
5x6 inchi 10 ni...
Habari
Nauza harddisk ya tb 12 kwa 350000
Disk nyingine tb 3 kwa 120000
Nyingine disk tb 1 kwa 90000
Zote zimejaa movies..
Pia nauza desktop hp full complete kwa 50000...
Karibu huduma zetu za kuhamisha. Tupo Tanzania nzima na nchi za Afrika Mashariki: Uganda, Kenya na Burundi.
Tunatoa huduma za kuhamisha makazi, kusafirisha na kupanga mizigo, kukodi gari, pamoja...
Get poweful M40 LTE MiFi Pocket Router.
Supports all networks. Vodacom,Tigo, Halotel,Airtel etc
Super fast 4G LTE-up to 150Mbps,
Connect up to 10 devices at once,
Dual band wifi for Stronger...
Hotel For Sale (3 star).
Location: Kisutu, Dar es Salaam.
Features: 4 Floors, 44 rooms (All self contained), parking available, Stand by Generator, No Lift.
Size: SQM 500.
Price: USD 1 Million...
Plot For Sale in Kigamboni Mwasonga.
Along tarmac road, 16km from ferry, 5-6km from Kibada.
Size: SQM 7472.
Price: Tsh 600 Million.
Document: Title Deed.
For further details or to arrange a...
Plot For Sale.
Location: Kigamboni Gezaulole, near Gezaulole Dispensary.
2nd row from beach, 100m away from Indian ocean.
Size: SQM 911.
Price: Tsh 150 Million.
Document: Clean Title Deed.
For...
HABARI ZENU NDUGU ZANGU TUNAUZA
STEND ZA LAPTOP ZA KISASA AMBAZO ZINA FENI
KWA CHINI MBILI FENI ZINASAIDIA LAPTOP YAKO ILIPATE
MOTO SANA MAANA FENI ZINAPOZA MOTO STEND INAKUJA
NA USB YAKE AMBAYO...
Piga 0746373222. Je? Unaishi mkoa wa mwanza au mikoa ya kanda ya ziwa na umekuwa unajiuliza wapi utapata mafundi wa cctv camera(Specialists of security system) ndani ya mwanza. Km jibu ni ndiyo...
Ni kijana nataka kufanya biashara za nafaka mashariki mwa DRC naomba ushauri wa kupata mortar na mashine za kusaga na kukoboa.
Na makadirio ya garama na mapato ahsanteni.