A & Y milk suppliers ni wauzaji wa maziwa fresh pamoja na mtindi kwa bei nafuu sana.
M. FRESH Litre 1 = 1,800
M. MTINDI Litre 1 = 2,000
Weka Order yako sasa. [emoji1636][emoji1636]
Tunapatikana...
Je unataka kuongeza uonekano wa biashara yako mtandaoni na kufungua milango mipya ya wateja bila kuchelewa? Tuna furaha kukutaarifu kuwa tunaunda website zako za kisasa, zenye mfumo kamili na...
TANGAZO: FUNDl UMEME WA MAGARI
Unahitaji fundi umeme wa magari?
Nipo tayari kukuhudumia kwa weledi na kwa wakati!
Huduma ninazotoa:
🔧 Uchunguzi wa matatizo ya umeme (diagnosis)
🔧 Kurekebisha na...
Je, unapata changamoto katika kuandaa au kuwasilisha TRA Returns zako?
Usihangaike tena — tupo hapa kukusaidia kwa haraka, usahihi na kwa kuzingatia sheria zote za TRA.
Tunatoa huduma zifuatazo...
🔥🔥OFFER OFFER OFFER OFFER🔥🔥
Nokia 106 New
Bei za jumla
Tsh17,500/=kuanzia pc5
Tsh17,000/=kuanzia pc10
Tsh16,500/=Kuanzia pc20
Rejareja:22,000/=
Brand: new
Batter: 1000mAh...
Je, unahitaji Huduma ya Usafi wa Kitaalamu?
Je, unajua kuwa wadudu waliyojificha nyumbani na madoa sugu kwenye tiles zako zinasafishika kabisa kwa njia za kitaalamu?
🏠✨ Tunatoa Professional...
Je, mtoto wako: ❌ Hajui kusoma na kuandika?
❌ Ana changamoto darasani au anaachwa nyuma?
❌ Anaogopa masomo au hana msingi mzuri?
👉 USIJALI TENA!
Sisi ni walimu wabobezi wa Home Tuition...
🌍 TUNARUDI TENA RWANDA 2026 🇷🇼
Kama ulikosa 2026, basi usipange kukosa tena!
Tunakupeleka kwenye safari ya kipekee ya Rwanda kuanzia
📅 Tarehe 4 hadi 7 Mwezi wa 4 (Aprili)
🔔 Fanya booking mapema...
Nitakuwepo nane nane Arusha na miche ya matunda kama Pixie Orange, Tangarine, Mineola na Clementine pia.
Dragon fruits miche itakuwepo plus elimu ya kutesha
Pixie ndio tutakuwa nazo nyingi na...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...