Wadau amani iwe Nanyi.
Plot moshi inauzwa ipo Shia mjohoroni mbele kama una tokea kiborloni.
Ukubwa: 1ekari 150mita kutoka barabara kuu ya Moshi~Dar
BEI:50ml. hakuna udalali
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne,
Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
Wadau habarini za asubuh. Nauza maeneo yangu yaliyoko dege jiran na "magorofa ya dege" kigambon. Viko viwili sehem moja na kila kimoja kina ukubwa wa mita 23*25. Viko kama mita 60 kutoka barabaran...
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 & #30...
Nauza kiwanja eneo la kibada Block 7,kina ukubwa wa squremeter 1350 kimepakana na eneo la NSSF,Kimepimwa na kina hati,anae hitaji tafadhali ani PM au awasiliane kwa namba 0654274004.
Listing by: Bestates Properties +255786157788
Tunapenda kuwatangazia wananchi wote raia wa Tanzania, mwendelezo wa uuzaji viwanja kwa bei nafuu kwa kuzingatia viwango vya serikali.
Hati...
BEI: 300,000,000/- Maongezi yapo kwa mhitaji
MAHALI:TABATA RELINI(karibu na st.Mary chuo cha ualimu)
UKUBWA: SQUARE M 1600
UHALALI:KINA HATI AMBAYO INALIPIWA KILA MWAKA
Mhitaji anaweza kuja PM...
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m...
Kiwanja kinauzwa
Ukubwa 32*32
Kipo Dar es salaam eneo la
kinyerezi_Kifuru(hali ya hewa)
Umeme na barabara vipo
Bei: Tsh.15million maelewano yapo. Dalali haitajiki
Mawasiliano:
+255712264469...
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi.
Ukubwa ni 20 kwa 20.
Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa)
Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
MAHALI: Kisarawe Km 35 toka Airport
UKUBWA: Heka 17
SIFA: Lina Hati , kuna Nyumba kubwa Pia Kuna Mazao Kama Mitiki, Michungwa,Mikaratusi
Bei: Tsh Milioni 800
aliyesirias Anakaribishwa kuliona Pi...
Habari wa ndugu
Nauza kiwanja kipo Tabata - Bonyokwa kisiwani karibu kabisa na shule ya Mesodonia, upande mmoja kinapakana na barabara ya Ole Meikoki inayoelekea chuo cha Masanja. Kina ukubwa...
Viwanja vipo Mkuranga mjini.Ni dakika30 kutoka Mbagala,na nauli ni elf moja tu kwa daladala,na ni kama km30 au zaidi kidogo kutoka Mbagala.
Eneo lipo mita500 kutoka barabara kuu ya lami.Eneo ni...
Kuna viwanja vinauzwa Chanika zingiziwa 20x20 vipo eneo zuri mkabala na zahanati ya serikali kiasi kwamba vinafaa hata kujenga kitega uchumi kwa wanaoelewa fursa zipatikanazo maene jirani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.