Nyumba Zinapangishwa Kigamboni

Nyumba Zinapangishwa Kigamboni

NANGAI MSUMI

Senior Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
146
Reaction score
94
Piga.0652180400
Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni 200,000/= Kwa mwezi.
IMG-20220408-WA0006.jpg
IMG-20220408-WA0012.jpg
IMG-20220408-WA0004.jpg
IMG-20220408-WA0005.jpg
IMG-20220408-WA0014.jpg
 
Habari, Hapo ni jirani na chuo cha uhasibu Kurasini? Nahitaji kumtafutia mdogo wng mahala pa kuishi anasoma chuo cha uhasibu. Nitumie picha zake za ndani pia.
 
Habari, Hapo ni jirani na chuo cha uhasibu Kurasini? Nahitaji kumtafutia mdogo wng mahala pa kuishi anasoma chuo cha uhasibu. Nitumie picha zake za ndani pia.
Ok. Picha za ndani nilikuwa sijapiga. Ila nitaenda kupiga na nitakutumia mkuuu. Inshallah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom