Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo cha chenga chenga (pellet mashine). mifugo kama (Kuku/samaki&sungura)
✓Inatuma umeme wa majumbani.
✓Inauwezo wa kuzalisha kilo 150 Kwa lisaa
✓Hp...
Nahitaji kuwasiliana na kampuni zilizo sajiliwa na zenye ofisi Tanzania, ambazo zina uwezo na uzoefu wa kuagiza electrical, mechanical na instrumentation equipment and parts. Kampuni iwe na...
Wana bodi habari, kama mjuavyo tuko mbioni kuelekea ktk mavuno ya nafaka mbalimbali, mwaka jana nilijaribu kuhifadhi mahindi ktk viroba vya kunga njaa! ilikua ni viroba viwili tu kwa ajili ya...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Pangani
Vipo jirani na machinjio ya soko la Loliondo
Maji na umeme upo na kwenda kuona ni Bure Kila siku
Tupigie 0620175964
Nawasalimu nyote.
Kama mada inajielezea, naombeni wanajamvi mnisaidie sehemu ya kupata mashine ya kukata mabox na box boards kwa ajili ya keki.
Nipo Mkoa wa Geita takriban mwaka na zaidi sasa...
Habari wana JF
Mimi ni mjasiliamali kwa ujumla ninaemiliki kitalu cha GYPSUM POWDER NA GYPSUM STONES maeneo ya Bendera Mkomazi karibu Bwiko Barabara ya kutoka Dar.
Gypsum powder yetu ni sulphate...
Tunawatangazia bidha zetu za Gypsum powder yenye ubora wa hali ya juu, hii ni kwa ajili ya kutengeneza mikanda ya gypsum na chaki, tupo Kamata Dar es salaam.
Simu 0653020784
Kazi bora hufanywa na mafundi bora.Tunajivunia kwa ubora wa kazi zetu kwa wateja wote tuliofanya nao kazi na hii ni moja ya sifa inayotufanya tuzidi kufanya bora zaidi.
Tunafanya kazi zifuatazo...
TAWA WATER PROFFESIONAL
Hicho kisima kinachimbwa kwa mteja wetu maeneo ya Goba, Eneo lina nyumba pamoja na eneo lingine kwa ajili ya kulima mboga mboga.
Tulimfanyia Underground water Survey kwa...
Siphael J.Moja ya kazi yangu hilo ni banda la kuku na ng'ombe na nguruwe ukihataji kujengewa banda lolote la mfugo na kwa material yeyote nafanya. Napatikana kwa wakazi wa kibaha pwani na dar es...
Habari wadau,
Kuna mama mmoja anauza eneo kibaha mnemela umbali kilometer saba kutoka hospital ya tumbi. Eneo nimeenda kuliangalia leo huko, maeneo ya kibaoni, mbele ya Boko Mnemela. Eneo ni...
Kwa majina naitwa James Emmanuel nina umri wa 27 nimehitumu chuo kikuu mwaka jana mwezi wa 8, Hivyo kulingana na janga la ukosefu wa ajira nimeamua kujiajiri kupitia biashara ya Mchele.
Mchele...
Samsung galaxy M31
Storage: 128GB
Ram: 6GB
Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front
Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera)
Coluor: Dark Blue
Condition: Excelent/Almost New...