Jo Motors ni kampuni iliyojikita kwenye uagizaji na uuzaji wa magari (car dealership), wauzaji wa auto parts za magari(Japanese parts na European parts) kwa gharama nafuu sana karibuni tukuagizie...
Habari za wakati huu,
Leo nimeona nilete mjadala mdogo ndani ya mjadala mkubwa unaohusu sekta ya Kilimo.
Kabla ya kuingia katika mjadala niweke wazi kwamba mimi sio mkulima wala sio mfanya...
REDMI NOTE 11 4G....
ROM 128 GIGS, 4 GB RAM...
5000 mAh
[emoji842]NO GOOGLE SERVICES ILA KUNA APKPURE APPS ZOTE ZIPO HUKO [emoji842]
VERSION 11...
CAMERA 108 MP
AMOLED DISPLAY 90 HZ REFRESH RATE...
We are ecoacts, we produce plastic timber and poles, our timber are not rotten, terminate resistant, not get fungus, environmental friendly, durable and strong, also our plastic timber are...
Nicheki 0685 779278.....bei 6.5M njoo tuzungumzee...ipo kigamboni kibugumo...haina dereva ndo maana inauzwa..Ina kila kitu ni kuwasha na kusepa...imefanyiwa mpaka service
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni
mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni
laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania!
anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki
yoyote japokuwa...
Hello brothers n’ sisters!
Aisee niko na perfumes nzuri na OG kwa wale mnaopenda uniquness and elegance. Ziko za kike na kiume zenye scents tofauti katika ujazo wa 50mils na 100mils.
Perfumes...
Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri...
Kwa wenye mikweche kama mimi wenye kuweka lita mojamoja nawashauri mtakapoona mafuta kwenye petrol station popote tafadhali weka mafuta ya kutosha maana vituo vyote tayari wameishaanza kugomea...
TUNAUZA PIKIPIKI MPYA ZA KICHINA, AINA YA OMOTTO INA ENGINE KUBWA YA 150 CC, INA SELF START, KITI KIREFU CHA KUKAA WATU WAWILI, INABEBA MZIGO WA KILO 200. ZINAFAA KWA BODABODA NA KZAI NGUMU...
Tunatengeneza Mabango Ya Kila Design Na Tunakufikia Popote Pale Ulipo Waweza Tembelea Kurasa Yetu Instagram (HD_signage_mabango) Uone Kazi Zetu
Ofisi Zetu Zipo Sinza Mori Karibuni Saana +255759117175
Soma kitabu hiki kuongeza maarifa na kipato zaidi 'WEWE NI TAJIRI: UMASIKINI UNAUTAKA MWENYEWE' kutoka CALIPA - CAS Life Purpose Academy
Unajali Mafanikio yako, ya Mwanao au Ndugu yako Katika...
Nimekua nikifikilia sana juu ya biashara ya dagaa ambayo nimehisi ni biashara ambayo inalipa
Kabla .ya kufanya chochote napenda kupata ushauri kutoka kwenu wakuu ukiwa mkoani Kigoma dagaa wa...
Camera iko katika hali Nzuri, imetumiaka wiki mbili tu kwenye Project.
Niliagiza kwa ajili ya project, now nimemaliza.
Ni camera nzuri sana hasa kwa Advanced Cinematographers & Photographers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.