Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA
Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu.
CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL
CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC...
Habari Wadau
Onana nasi kwa huduma zifuatazo:
Kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING):
Calendar, Diaries, Tshirts, Mugs, Stickers, Posters, Books, Forms, Business cards...
Wadau hongereni na majukumu.
Natafuta master bedroom ya hio bei. Location kuanzia Kimara mwisho - Ubungo.
Isiwe mbali na Morogoro road. Angalau umbali uwe dakika 10 tu.
Msaada tafadhali
Fridge Inauzwa:
Fridge hii ni Brand ya INDESIT ambayo inatengenezwa na company ya Hotpoint ya Uingereza.. ina pooza na kugandisha vizuri..
Matumizi yake ya umeme ni Bora yenye level ya A+...
Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi.
Sifa za nyumba:
Ziko mbili ndani ya fence 1
Vyumba 3 kimoja Master
AC mbili (Sitting room moja na master...
Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo.
1...
Wakuu kuna tani 32 za mahindi zinauzwa, bei itategemea na sehemu ulipo maana nakuletea, ama ukiamua kuyafuata mwenye pia sawa
Kwa maelezo na mawasiliano zaidi nicheki inbox
Kwa anaehitaji huduma ya kutengenezewa website na softwares nyinginezo sikiwemo za kuratibu shughuli zote za biashara yako nk. Karibu tuzungumze kazi inafanyika katika viwango vya juu sana kwa...
Simu kali sana used kutoka dubai zinauzwa bei ya kutupa.
Kuanzia 250,000 unajipatia samsung S7
samsung S8 kwa 290,000
Samsung S9 kwa 320,000
Samsung S9+ kwa 380,000
Samsung S10 kwa 400,000...
Ubalozi wa Marekani utauza kwa njia ya mnada wa kimtandao (online auction) vifaa mbalimbali vikiwemo samani, vifaa vya nyumbani, vifaa vya kielektroniki na magari ya serikali:
Mnada utafunguliwa...
Msaada jamani,
Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka.
Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
Wadau natafuta kitabu kiitwacho SIMU YA KIFO KImetungwa na Faraji John katalambura.
Nanunua kwa bei yeyote kiwe second hand au kipya.
Nipigie simu 754-290-306 au 718-184-872.
Asante.
Habari rafiki,
Naitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi na mbobezi kwenye mambo ya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Nimeweka shabaha kwenye kuwezesha watu kujenga utajiri au kutunza fedha zao...
Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona leo tukiwa na afya njema... Tunamshukuru Mungu.
.
MZIGO MPYA HUO, mali MPYA, ni ROZARI za SILVER ORIGINAL ZA ITALY ZIKIWA KWENYE UZITO NA UKUBWA TOFAUTI...
Tunauza Miche ya matunda
Aina ya miche ya matunda inayopatikana Kilimo Tz:
1. Miembe
aina za embe ambazo tunazo
a. Tommy
b. Indian Red
c. Apple Mango
d. Dodo
e. Bolibo
f. Alphonso
g. Maya
2...
Nahitaji ushauri juu ya brand nzuri ya magodoro ya kulalia, nahtaji kununua godoro la inch 8 au 10 kwny kitanda cha 5x6 ila ambalo ni mkataba kabsa linadumu kwa mda mrefu.
Na je ni vitu gani vya...