Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715 SIFA YA NYUMBA. Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, Mungu akinijaalia mwezi wa 7 nataka kufungua kibanda cha kupata angalau Mia 2 Mia 3 ili niweze kulea mke wangu(sijamuoa) na mtoto wangu huku nikiendelea na masomo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
NIKON D3000 CAMERA MPYA 🟡UNAPATA LENZ 18-55mm 🟡CHAJI NA BETRI 🟡MEMORY CARD 32GB 🟡UNAPATA NA BEGI BEI TZS: 380,000/= TU PIGA: 0752886244 HII OFA SIO YA KUKOSA KABISA[emoji3060][emoji3060]
0 Reactions
3 Replies
492 Views
Wakuu natoa huduma zifuatazo: 1. Natengeneza website za aina zote, blog n.k 2.Natoa huduma za E-comerce, App za kihasibu kama vile quickboks,microsoft 360 na software nyingine za kihasibu au za...
0 Reactions
11 Replies
630 Views
Imekuwa ni changamoto kwa watanzania Na baadhi ya watu kushindwa kupokea malipo yao kutokana Na PayPal ya Tanzania kushindwa kutoa fedha nchini. Sasa nmekuja Na hili jipya, ni kuwa unaweza...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari inauzwaa mwanza Million 24, ina kila document muhimu inayohitajika. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 769 088 152
0 Reactions
49 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu ninapota kufanyia biashara hakuna umeme hivyo natafuta friji za sola zinazo tumia umeme wa jua kwa aliyo nayo au anaejua zinapo patikana.
0 Reactions
3 Replies
844 Views
Habari, Kama wewe ni mmiliki wa pharmacy, Hospital au zahanati,supermarket au duka la aina lolote ile bas hii inakufaa, Dunia hivi sasa imebadilika sana tekinolojia inazidi kukua Kila kukicha...
0 Reactions
0 Replies
356 Views
Jambo Jambo? Wote tunajua kuwa mbali na Ajira huwa tunapiga mishe zingine za pembeni ili kujipatia kipato na kutoa msaada kwa wadau wanaouhitaji.Tupo kundi la watu kadhaa ambao kulinganana kazi...
0 Reactions
2 Replies
335 Views
Gari Nissan xtrail for sale Dar es salaam: Mwenge Milion 10.3 Karibuni. Namba: 0747713713
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Kama title inayojieleza hapo juu, natafuta wakala wa safaricom au mtu mwenye cash kwenye safaricom mpesa kwa tanzania, nataka niweke pesa kwenye safaricom mpesa. Kama upo DAR itakuwa poa sana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kiwanja kipo maeneo ya kinondo mwendokasi kata ya Mabwe pande, Dar es salaam. Kina Sqm 400 kina structure au jengo lenye chumba na sebule na choo, kipo sehemu nzuri sana. Bei ni Tshs : 8.5m...
1 Reactions
9 Replies
943 Views
Camera nikon D90 inauzwa katika hali nzuri. Bei Tsh 900000 piga simu 0712652110 Dar.
1 Reactions
4 Replies
929 Views
Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu. CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wadau Onana nasi kwa huduma zifuatazo: Kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirts, Mugs, Stickers, Posters, Books, Forms, Business cards...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau hongereni na majukumu. Natafuta master bedroom ya hio bei. Location kuanzia Kimara mwisho - Ubungo. Isiwe mbali na Morogoro road. Angalau umbali uwe dakika 10 tu. Msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
412 Views
Fridge Inauzwa: Fridge hii ni Brand ya INDESIT ambayo inatengenezwa na company ya Hotpoint ya Uingereza.. ina pooza na kugandisha vizuri.. Matumizi yake ya umeme ni Bora yenye level ya A+...
2 Reactions
3 Replies
695 Views
Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi. Sifa za nyumba: Ziko mbili ndani ya fence 1 Vyumba 3 kimoja Master AC mbili (Sitting room moja na master...
2 Reactions
96 Replies
10K Views
Nauza Harddisk za desktop na laptop used kutoka Dubai, ukihitaji tafadhari nicheki kwa 0673330618 WHATSAPP na KAWAIDA
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Hdd Gb 1,000 (1tb) inauzwa ndani ikiwa na baadhi ya Movie [emoji897] tofauti tofauti bei ni 90,000. Hdd ni Toshiba niko Kibaha Pwani, 0626 368 650
1 Reactions
0 Replies
444 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…