Habari wakuu kama una uhitaji au unataka kuanza au kuboresha biashara yako, karibu hii selcom mashine
Ukiwa nayo hii utaweza kufanya huduma nyingi sana
Ikiwemo malipo mengi ya kimtandao kama...
Play station ni used
Hard disk 500GB
Ina games ndani tayari za akaunti.
Padi moja ila siyo nzima.
Ninakupa na HDMI na Power cable.
Napatikana Dar es Salaam
Nicheki kwa namba 0682507838 au...
solar products. Inawaletea bidhaa ya taa[emoji362][emoji362][emoji362] 3 pamoja na switch zake pamoja na chaja za simu. Malipo ya awali 20000/= na malipo ya siku 750/= muda WA malipo mwaka 1ina...
Hello
Poleni na majukumu
Mimi nauza nguo za watoto za kike na za kiume kuanzia miaka 0-6 bei ni kuanzia tsh 1, 000 napatikana dar goba kwa mawasiloano karibu sana PM.
Hello wana jamvi kama unahitaji
mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa...
MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI
BEI: 450,000/=
Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako...
Heshima kwenu wadau..
Nauza T-Shirt heat press, heavy duty, nzuri kabisa for transfers image and logo on T-Shirts, namba na majina kwenye jezi za michezo.. kuprint leso, vitambaa etc
Mpya kabisa...
habari wakuu.. nauza kochi langu la watu watatu .. lina wiki kadhaa toka linunuliwe ..
bei 170,000 location moshi mjini ..
exchange inakubalika kwa mwenye la watu
wawili tukikubaliana ..
0715 194...
Imetengenezwa kwa MATUNDA, mbogamboga na pilipili organic.
Ina ladha nzuri na harufu nzuri ya kupendeza.
Bei yake ni TZS. 3'000/- kwa rejareja na JUMLA ni TZS. 2'000/-
Piga simu namba...
Big Offer! Printer Mpyaa!
•Epson L3110 kwaajili ya biashara na ofisini
•Ina uwezo wa
Kuprint📍
Kutoa copy 📍
Kuscan 📍
Picha na karatasi ukubwa wa A4 √
•Unapata CD/User guide√
•Cable √
•Chupa...
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya saa na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Mmoja ni wakusimama "full'' bei yake ni 45000/
Mingine 15 ni ya blauzi 3500
Ni used nlikua nafanyia biashara nimeacha
Bei hizi hutapata popote.
Location: Tabata kinyerezi
Call: 0783391278
Printer ya EPSON L382 kwa Tsh 280,000/= tu . Iko clean kama mpya haijawahi kurefill tangu upya wake.
Ina 1. photocopy colored na black &white
2. printing colored na black & white
3. scanning
4...
Ni freezer aina ya Syinix.
Lita 263
Ni used lakini kama mpya.
Haijawahi kuwa na tatizo wala kutengenezwa.
Inapatikana Dar es Salaam.
Nauza tsh. 500,000 au kama una friji ya kioo (show case)...
Habari wakuu
nimekuja na ofa ya hizi taa zikiwaka zinaonyesha sign ya piano
Watu wote wanaweza kutumia
1. Kama unafanya kazi usiku na huhitaji mwanga mkali hii itakufaa sana
2. Kama unapenda...
Nauza bidhaa zifuatazo:
Friji ndogo linapoza na kugandisha vizuri utalipata kwa 140,000 tu
Water dispenser fully box utaipata kwa 160,000 tu
Mini friji linapooza na kugandisha vizuri utalipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.