Habari wanajamvi: nahitaji ukumbi wa harusi usiozidi milioni mbili mwezi wa kumi, maeneo ya makumbusho, dar. Isiqe mwenge au mbezi beach au sinza, iwe exactly makumbusho. Anayejua kumbi maeneo...
Shamba linauzwa lipo Mkoa wa Pwani wilaya ya BAGAMOYO,
Shamba lipo barabara ya MLANDIZI BAGAMOYO kijiji kinaitwa Sunguvuni limepakana na ukuta wa kiwanda kipya cha HILL WATER.,shamba linafaa kwa...
Nahitaj frame kwaajili ya cosmetics isizid 300,000 itapendez ikiw chin ya apo maeneo ya Makumbusho/ Sinza/ Magomeni kiufupi sehem ilochangamka hapa Dar
Jamani natafuta maduka yanayoweza kuuza ingredients za kutengeneza wine. Kwa kifupi kuna ingredient naitafuta inaitwa CAMPDEN.
Nimeshasumbua kichwa kutafuta mpaka nimechoka.
Msaada tafadhali
🌳 PLOT FOR SALE IN CHAMAZI REAL-ESTATE
_________________________________
#Mladi mpya wa viwanja uliopo chamazi mbande Kilometer 1.5 kutoka uwanja wa mpira wa azam ( AZAMCOMPLEX) .
🌳 Mladi wenye...
Habari za uzima Ndugu zangu , Nina Maharagwe mazuri Sana yanayolimwa Sana Kilimanjaro , yanaitwa "Karianzee" ni Quality Sana kuyashinda hata Maharagwe ya Njano ila kutokana na kutojulikana watu...
Kuna ombwe la mafundi kutekeleza kwa uhaba kazi uejzi wa nyumba za wadau mbalimbali ,hii Ni pamoja na uaminifu wa mali za wateja zinakuwa mashakani kwa asilimia kubwa.
Sasa suluhisho ni Uvimo...
Samsung Galaxy A54 5G
Inauzwa imetumika mwezi moja,
Haina shida yeyote,
Ina warrant ya miaka miwili.
Hizi ni baadhi ya specs zake.
Reased 2023, March 24
202g, 8.2mm thickness
Android 13, One UI...
Eneo Lina nyumba mbili ya mbele ina fremu 5 na vyumba 6 vya wapangaji. Na nyumba ya nyuma ni yakuishi ina vyumba 2 sebure, dinning na valanda.
N.B Unaweza ivunja na kujenga shell, hotel...
Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja...
Nauza gari yangu, aina ya Toyota IST,
Cc 1200, yani mafuta kidogo umbali mwingi, Gari ni nzuri sana, nimeitunza vizuri sana, bei naanzia 8.8M, maongezi kidogo yapo.
Gari ipo Mwanza, ni cheki kwa...
Habari zenu wadau.
Habari njema kwenu nyote wana teknolojia, Karibu ozone ujiptie SSD, RAM na Vioo vya laptop kwa bei rahisi na nafuu. SSD, RAM na Vioo vyetu ni vipya kabisa kwa maana ya kwamba...
Habari ndugu kuna Eneo linauzwa Manzese Argentina. Eneo linatazamana na barabara kuu ya Morogoro road jirani kabisa na kituo cha Mwendokasi cha Argentina
Eneo linafaa ujenzi wa hotel, shell au...
Obs Company tupo kwenye wiki ya CV JOINT
Karibuni wote wana JF wanaopenda kununa spare za magari
kwe bei ya Jumla , Mzigo wa CV joints umeishaingia Dukani
karibuni dukani kwetu mjipatie Spare za...
Habari za jioni nipo Dar es salaam nauza Rim paper size ya A4 gm 80 kwa bei ya sh.55,000 kwa kila carton mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu kwa maelezo zaidi nicheki 0789386320.
Karibuni.