Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza fridge kubwa ya milango miwili ipo keko dilers,inafanya kazi vizuri.bei yake 260,000. Pia kuna frizer ndogo iko poa pia inafanya kazi vizuri imezungushiwa copper ndani .rangi yake iko poa...
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Habari za wakati huu Wana JF. Leo nimerudi tena Ndugu Zanguni, Nauza Milango MITANO (5) ya MNINGA. Ni mipya kabisa, bei ni tsh Laki mbili na elf hamsini (250,000/=) kwa mlango MMOJA. Maongezi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari jF, Kwa niaba ya mdau wa hizo kontena, naomba kutoa taarifa kuwa kontena za futi 40 na futi 20 sasa zipo na zinapatikana kwa bei rafiki kama ifuatavyo: 40 feet kwa 8M 20 feet kwa 6M Yard...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PTZ wireless camera - Hii ni camera inayojizungusha mahususi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa eneo lako kama biashara au nyumbani. [emoji654]ina uwezo wa kuzunguka na kuona pande zote kwa picha...
3 Reactions
5 Replies
813 Views
Nauza earpods, wireless headphones, charges, fast chargers, and all others phones accessories karibuni Sh 30,000/= Buds pods Elfu 55,000/= Iphone sh 55,000/= Sh 55,000/= iphone 13pro max sh...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni mtumba, iko poa sana Bei ni 220,000~maongezi yapo NB: Malipo ni baada ya kupokea na kukagua mzigo Call/ normal text/ wasap #0622506787
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu. Liko bunju b piga 0767 72 73 88
0 Reactions
2 Replies
709 Views
Wadau habari za leo ! Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao: 1. Dagaa nyama, 2. Dagaa wakavu/Lukumbu, 3. Lumbunga , na 4. Ng`onda pia wapo. -Mauzo ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza hii server cabinet ikiwa na top mounted cooling system pamoja na Sisco switch and Firewall kwa Bei ya punguzo...Niletee laki tatu na nusu uchukue.... 350,000 Location mabibo external...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nauza mlango wa Kioo (Aluminium) mahususi kwa kupachikwa kwenye fremu ya biasharaSize: Futi 7 kwa futi 7. Umetumika kwenye frame ya bucha kwa muda mfupi wa miezi 3 tu, bei ni TZS. 150,000 Tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Compressor LITA 300 Inatumia Jenereta + PETROL Horse 6 750,000🔥🔥🔥 0688986066 MBEZI-MWISHO
0 Reactions
0 Replies
542 Views
INAUZWA IPO IRINGA HAIDAIWI HAINA TATIZO NUMBER D BEI 70,000,000/= MAWASILIANO: 0745 101 615 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
475 Views
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA...
3 Reactions
4 Replies
738 Views
KARIBU KUNUNUA VITU MBALI MBALI KWA BEI NAFUU...[emoji593]AL AUTO PARTS ! Please let us know how we can help you.Ofisi zetu zipo Dar es salaam, kariakoo NA TABATA MUSLIMFree Delivery within...
1 Reactions
1 Replies
553 Views
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi, pia mashine za chakula Cha kuku, mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali, nk, karbuni sana wateja wetu tunapatikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SOLD OUT[emoji845]
0 Reactions
2 Replies
471 Views
Brand new Amazon Kindle inauzwa, (full boxed) ni nzuri sana kwa wapenzi wa kusoma vitabu online au wanafunzi wa chuo, itakuepusha kutembea na mavitabu au Kila siku kwenda library kufuata vitabu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar wadau wa elimu. Kuna jambo hapa naomba ushirikiano wako. Hii ni kwa zile shule za sekondari sasa kuna maabara zile za masomo ya physics, chemistry na biology. Sasa kwenye hizi maabara...
0 Reactions
1 Replies
474 Views
Habari zenu wadau, mbwa anauzwa sh 350,000 . Nipo mikocheni dar es salaam . Kwa anae hitaji Karibu pm kwa maelezo zaidi
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom