Wakuu habari zenu,
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JamiiForums maana nimekuwa nikifaidika kila mwezi kwa kupata kipato cha kununulia vocha mjini.
Niliweka post humu JF...
Kila mtu anajiuliza hivi naanza vipi kufungua ofisi yangu ya Steshenari? Au inatakiwa niwe na kiasi gani?
Jibu ni moja tu sis kama MachapishoAgentLtd tupo kwaajili ya kukufungulia milango ya...
Dar na Mwanza.
Mwenye Saloon Car ambayo nawezakutumia kama Taxi anistue.
Mwanza ni bora zaidi maana lengo ni kutumika hukohuko mwanza,au hata Dar inaweza kupigwa mashine hadi Rock City.
Mahitaji...
Habari wakuu, Natumai kila mmoja wetu yuko vizuri na tunaendelea kupambana katika ulimwengu wa biashara na ujasiriamali. Mada ya Leo inahusu kitu ambacho kina mchango mkubwa sana katika kuikuza...
NATURAL SKIN SOLUTION
IMANI YETU
Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa...
Size sqmt 877.
Bei 100m, aliye serious mazungumzo yapo.
Muhusika anasafiri kwenda Marekani mwezi ujao, so anahitaji mteja kabla hajasafiri.
Eneo ni Mbweni JKT, ni pazuri mnoo, njoo mwenyewe...
Kumekuwa na tatizo kubwa sana kuhusiana na ubora wa PASSPORT SIZE kawaida ya passport size inataiwa iwe na background ya Light blue na siyo dark blue na pia Dimensions za passport size ni (45mm ×...
Greetings wakuu.
Inatafutwa Crown Majesta yenye hali nzuri, isiwe na kipengele chochote kwenye engine(hapa naomba nitilie mkazo wakuu, engine isiwe kimeo kwa namna yoyote ile). Ikipatikana...
Kiwanja kiunauzwa kipo madale kina uku wa square meter 520 Tsh 9,000,000 kina barua ya manunuzi kutoka serikali ya mtaa huduma zote za kijamii zipo Tuwasilane 0686995586 karibu sana.
Nina Kamera mbili nilinunua nikiwa naanza kujifunza maswala ya picha, kwa sasa sizitumii, bado ziko kwenye hali nzuri sana, nauza kwa bei ya kutupa.
Sony nex-6
Iko na chaji yake na kit lens...
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro.
Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini...
Kuna page Instagram nimekuwa nikivutiwa na viatu vyao lakini nikitaka kutoa order wanasema wanauza jumla na sio rejareja.
Mwenye uelewa anisaidie jinsi naweza kununua pairs chache kwa ajili ya...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako...
NYUMBA inapatikana maeneo ya KITUNDA
Ina chumba kimoja, sebule na choo ndani.
Kutoka Banana unapanda gari za KITUNDA
Ina tiles na gypsum
Mazingira mazuri
Maji na umeme unajitegemea
Kodi kwa mwezi...
Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video...
Habari wana JF
Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10...