Siku za usoni, hapa Tz kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kukosa visa kwenda nchini China.
Mfanyabiashara (Mtanzania tuu) anayehitaji visa, tuwasiliane.
Mdau.
tumia aloe gel YENYE VIRUTUBISHO 200
original from USA.
jipatie aloe gelly Kwa matumizi yafuatayo
kusafisha mfumo Wa damu
kusafisha mfumo usagaji chakula
asthma
kisukari
presha
maumivu ya tumbo...
Ina 3g,bluetooth,installed application programs such as instagram,twiter,whatsapp,facebook,picmix,skype and much more,ipo katika hali nzuri,bei ni laki na sabini tu (170,000),ni pm tufanye...
Wadau naomba kujuzwa wapi nita print kwa bei rahisi posters za A3....kuna printers niliwaona kwenye tangazo la gazeti la mwananchi wanaprint kwa 600 but bahati mbaya nimepoteza namba zao za...
Samahani wadau naomba kuuliza mahali hapa Tz ambapo naweza kupata mashine zinazotumika ku print nguo,kofia na kudarizi pia.
Naulizia mashine kama heat presser na nyinginezo. Pia mahali ambapo...
Hi all!
Miezi ya nyuma kidogo nilitangaza hapa JF kuwa mimi na timu yangu tunaandaa mahesabu ya biashara, tunatoa ushauri wa kitaalam kuhusu biashara, tunatoa huduma za kihasibu kwa muktadha wa...
Wana JF natafuta mwalimu wa nursery ambaye anaomuda wakati wa jioni (saa 10 jioni) ili aweze kumfundisha mwanangu (4 year). Ningepende mwalimu ambaye anakaa maeneo ya yombo vituka maana ni maeneo...
Nina laki 2 kamili kama upo na una uwakika nayo ipo kwenye hali nzuri, npo tayari
Mwisho napenda kusema nlishawai kununua simu kupitia apa JF nzima kabisa.