Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Simu ipo katika hali nzuri haina scratch ata kidogo. Ninauza kwa kua ninashida na napatikana DOM mjini. Kwa atakae penda ani-PM. Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
964 Views
Natengeneza magate kwa ufanisi wa kutosha kwa mfano uliopo hapo. Pia madirisha na milango. Napatikana Makongo juu Ccm, Wote mnakaribishwa. Napatikana kwa namba 0717441590/ 0756563545
1 Reactions
0 Replies
4K Views
habari zenu wakuu. Ningependa kujuzwa kuhusu wapi naweza kupata ginseng coffee kwa hapa dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni zile za tigo, ipo poa, haina michubuko, ipo protected na scrach since day one. Tsh. 155000/ tu. (laki na hamsini na tano tu). inatumia line zote ina vifaa vyake vyote, hadi box...ni inbox...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Banda la vyumba 3 na uwanja wa kuweza kujenga nyumba 3 kubwa linauzwa.mbagala chamazi kea mkongo m.25 cm no 0715 836 836
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Nina ka ipod nano kangu, (sina uhakika na model nlotaja). Natafuta kamfuko kake.
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Anaefahamu sehemu wanapojaza wino wa printer (refill) katika jiji la Dar anijulishe plz.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
OVERVIEW Market Status Released Release Date May 2012 (1 year ago) DETAILS Operating System Android Operating System Version Android 2.3 User Interface Android Keypad Options Touch Screen Keypad...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
naomba msaada ndugu zanguni, naitaji kuagiza simu kutoka ebay,naomba kufaham jinsi ya kuagiza mpaka kunifikia natakiwa kutumia proces gani na je bank gani ambayo naweza kupata msaada kwa haraka
0 Reactions
1 Replies
958 Views
wakuu nahitaji huduma ya printing ya banner kwa affordable price,banner yenyewe iwe na ukubwa wa 260*343,ni coloured ,na iwe na material mazuri,mwenyewe huduma hii naomba ani PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nauza Laptop adapters za Aina zote. Bei ni 35,000 TU. Toa order nitakuletea ulipo au maeneo jirani. KAribuni Kwa Mawasiliano piga namba 0658663325-
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HUAWEI U 865O On sale 150,000 tu..ipo freshhhh
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari aina ya nissan ninauza million 5 Kwa mawasiliano:0712419419 0714198500
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf nina spy watches saba bado mpya zipo kwenye maboksi yake na usb cable zake,zinaweza kuchukua picha,video,na mp3 kwa high quality,bei laki moja na nusu abo....,mwenye hitaji anitumie sms...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau mwenye simu hizo hapo juu tusomane kwenye namba hizo 0713-626027 .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba iko musoma mjini,tuna itaji kubadilishana na nyumba iliyopo:dar es salaam,arusha,mwanza,morogoro au moshi. Nyumba imegawanyika seheme mbili mbele na nyuma.nyumba ya mbele ina vyumba vinne...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Going very cheap : Dell streak 5 phone, 600usd
0 Reactions
0 Replies
701 Views
APCS TANZANIA(AFFILIATED TO AMREF TANZANIA) · NI ASASI ISIYO YA FAIDA ILIYOSAJILIWA KUTOA HUDUMA HAPA TANZANIA · A PSYCHOSOCIAL CONSULTANCY ORGANIZATION · TUPO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota glanza turbo +music system...call 0714604974
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cm ipo katika hali nzuri wakuu napatikana dar pm kwa kuongea biashara na kuuziana cm! Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…