Tunapenda kuwafahamisha Wapenzi wasomaji na wafanyabiasha kwa ujumla na wenye kuwa na mahitaji mbali mbali sherehe na burudani sasa unaweza kuwasiliana nasi kwa kupitia anunwani zifwatazo...
Natafuta photocopy machine ambayo ni used, iliyo katika hali nzuri na bei nafuu kabisa. Kwa mwenye nayo au taarifa ya kuniwezesha kuipata tuwasiliane kupitia JF au +255 659 528 724. Natanguliza...
Nauza samsung digital camera mpya from UK ,ina 16.1mp ,nyeusi ina 5x digital zoom,ina 3" lcd screen.Iko ndogo inaweka hata kwenye pocketbya suluali tu na ni powerful.bei 280k mwenye kuhitaji...
Habari wana bodi,
Jamani napenda kufahamu bei za magari niliyotaja hapo juu; Mark X, Toyota Verossa na Rav 4 (Kubwa) ya mwaka 2002-2004 kwenye show room Dsm, kama kuna anayefahamu naomba msaada...
habari bandugu
nina 1000,0000/= naitaji pikipiki aina ya fekon au sunlg pls ni haraka sana yaitaji ni muhimu
aliyenao anipm iwe imetumika mwezi 1 tu au iwe mpya kabisa pls marafiki nisaidieni...
Kwa wanaopenda kupendeza kiafrica zaidi kwa mavazi ya batiki za kisasa utaletewa popote ulipo dar na mkoan.Pia kama unapenda kujifunza utengenezaji wa batik utafuatwa kwako na vitabaa vya...
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju A (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji...
Habarini wakuu
Nataka sports rim nzuri . Niende wapi kwa hapa Dar nikapate choice kubwa. Nini cha kuangalia kwenye rim zaidi ya size, coz nasikia nyine ukikanyaga reli ya treni zinakatika
asanteni