Shamba linauzwa ni beach plot liko tanga sehem inaitwa AMBONI (mafuriko).
Shamba lina ukubwa acre 2 1/2, shamba liko mazingira mazuri kuna umbali usiyo pungua kilometer 1 sea level kutoka...
Pata viwanja kwa bei nafuu eneo la Kibaha madafu na mbezi mzalendo njia ya malamba.
Eneo lenye urefu wa 56 meter kwa 43 na mapana ya meter 19 umbali wa dakika 20 kwa miguu toka morogoro road. Kwa...
Mji mpya umeanzishwa ,mkabala na halmashauri mpya ya Kibaha ( Mlandizi),Nyuma ya kiwanda cha Kiluwa Steel.
viwanja vipo kilomita 1.9 toka Morogoro road.
Kiwanja Cha sqm 1,200 (mita 40 kwa mita...
Habari wana JF,
Nina kiwanja changu nakiuza 4mil kipo Kigamboni kimbiji golani eneo la kidagaa kina hati toka ardhi 600sq ni km 35 kutoka Kigamboni Ferry ..
Kwa mawasiliano zaidi piga 0657940974
Property international limited
Inajihusisha na uuzaji wa viwanja vilolivyopimwa na Barbara ndan ya miradi yetu...
Miradi hiyo ipo
Kigambon
Mlandizi
Bagamoyo
Mwenye uhitaji,
Contact:0652066570...
Habari za muda huu ladies and gentlemen?
nauza kiwanja Bunju A Dar es salaam.
size ya kiwanja ni 30*30 hatua za miguu.
bei ni 7mil net.
karibu Kwa mazungumzo 0713096076
Wadau karibuni Kisemvule Mkuranga mujipatie viwanja ukubwa 50 /40 umbali kutok barabara ya kusini ni 3km,2km bei!! ni 1.5.ml 1.8ml karibun ukileta mteja unapata asilimia 10 unalipa kwa awamu zaidi...
Nauza kiwanja kinachopatikana Itezi Mbeya.
SIFA ZA KIWANJA
1. Kimepimwa na hati ipo.
2. Umeme hauhitaji nguzo au nguzo moja ukihitaji.
3. Nimeweka msingi wa mawe wa nyumba (Trip 9).
4. Mashimo...
Shamba linauzwa, Kibaha Mlandizi Miswe ukubwa eka 55.
Chanzo cha maji huakika, kilimo kipindi chote kwa mwaka,maji ya mto ruvu na mto msumbiji.
Linafaa kwa kilimo cha mazao mengi, ulimaji wa...
Kiwanja kinauzwa Igoma mwanza.
size ni 30*25 ft
kipo mtaa wa kilimo A, Igoma jijini Mwanza.
Umeme upo kiwanjani, maji yapo hapo pia.
Kiwanja ni kizuri sana njoo uone kwa macho.
Bei 6 million...
Eneo: Goba Kulangwa
Uelekeo: 2Km kutoka barabara mpya ya lami ya njia nne kwenda Tegeta
Ukubwa: 400sqm
Hadhi: Skwata
Bei:Milioni 12
Eneo zuri lina barabara nzuri, na Umeme Upo tayari.
Ukihitaji...
Viwanja vipo mita 500 kutoka Barabara kuu ya lami morogoro to dodoma,hakuna haja ya bodaboda, kutoka msamvu stand ni daladala moja nul ya manispaa. pamejengeka vizur sana, vipo ndani ya fansi...
Eneo Chanika Buyuni kituo cha daladala kwa dadi, ukubwa urefu hatua 25 na upana hatua 15. Eneo lina msingi wa nyumba vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom, kina sebule, jiko na choo cha...
Shamba hili lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna...
Kiwanja kinauzwa IGOMA
mtaa wa kilimo msikitini
SIZE YAKE NI HATUA 33*33
Kimepimwa (beacon zimewekwa)
Maji, umeme, barabara vipo tena uhakika muda wote.
kutoka kiwanjani kwenda igoma senta...
Eneo la kujenga kituo cha mafuta, hotel au Ukumbi wa Starehe linauzwa.
Location: Kahama
Upana: Miter 70
Urefu Miter 100
Sawa na Square miter 7,000
Bei ya kuuza Mil.125 Tsh.
Eneo linayo number ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.