Nembo ndio utambulisho wa biashara yako karibu Legacy upate Nembo inayoendana na Hadhi ya biashara yako. Piga sasa 0713603699 au info@legacytz.com kwa maelezo zaidi. Legacy Impresion Company au...
Rav4 old model
Mwaka 1996
Cc 1998
Engine model 38 fe
Gari imesajiliwa nchini mwaka 2009
Ina 4wd
Km 100136
Gari ipo arusha haijapaigwa rangi wal ajali
Piga simu..0652 077 953
Karibun
Habari wadau,
Nilikuwa nahitaji sehemu nzuri ya kutengeneza (kuweka vioo) lens kwa ajili
ya miwani yangu ya Rimless. Nahitaji kujua bei na inachukuwa muda gani kukamilika.
Asante sana
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu...
Yeyote anaehitaji huduma ya service na matengenezo ya gari yake kwa bei nafuu tuwasiliane kupitia 0766981308. Huduma hii naitoa haswa kwa wakazi wa Dar, kwa wakazi nje ya Dar tutaelewana.
Nahitaji gari hiyo iliyo kwenye hali nzuri, I prefer dark blue or black in colour. Tafadhali isiwe ilishawahi kubeba abiria kama zile za mbezi_ kkoo.
Iwe imesimama kweli kweli bei hatutashindwana...
Nyumba yenye vyumba vinne, Jiko, Sebule mbili na Dinning ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa square mita 645 inauzwa. Hati zipo na haina mashaka.
Mahali ni Kigamboni eneo la MIKADI...
Wadau habari!kwa wale wenye kuhitaji mayai ya Kwale yanapatikana hapa Dar es salaam,kwa bei ya 20,000 kwa tray,punguzo lipo kutokana na idadi ya tray utakazochukua,kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni...