Wakuu kama kuna dalali yeyote wa Nyumba maeneo ya Kigamboni naomba tuwasiliane nahitaji nyumba ya vyumba 2 fence na vitu vingine kama tiles nk niPM.Bajeti laki tatu kwa miezi sita.
16gb internal memory,
support sim card,
wi-fi,
memory card slot,
white colour,
accessories:
charger,
usb,
cover,
works perfectly...in a mint condition..no scratches. ...
Wadau habari zenu nina tv 2 zimekaa tu ndani naziuza zina hali nzuri naweza sema ni kama mpya. Hiyo ya inch 21 ni singsung nyuma ina chogo lkn mbele flat stand yake yakuzunguka inatakiwa laki na...
Kichwa cha habari kinausika. Ipo Endasak wilaya ya hanang', inatazama barabara kuu ya kutoka Arusha kwenda singida. Eneo lake ni hatua 22 kwa 70. Ina milango 2 ya biashara na vyumba 3 vya kulala...
Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing...
Kiwanja kina Hati, ukubwa sqm 1492, ni umbali 7km kutoka feri ya Kigamboni na hakiko mbali na barabara ya lami. Bei ni 70m.
Kwa mahitaji ya kiwanja hiki na vingine tuwasiliane: 0657 145 555.
Kina ukubwa wa nusu eka kipo Chanika mtungini karibu na shule ya secondary chanika.
Bei 12mil
0784198482.
Ukiwekeza kwenye ardhi hutojutia hela yako baada ya mwaka mmoja utakiuza mara mbili...
Nyumba inauzwa, Ipo Dar es salaam, maeneo ya Sinza, Barabara ya Shekilango, Block "B" mita sitini kutoka barabarani. Bado ipo katika hali nzuri na kuna fremu tatu za maduka, bei ni milioni 400 tu...