Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba mtu yeyote anayemfaham dalali Mbagala awekee mawasiliano yake hapo chini nashida na fremu ILA IWE RANGI TATU PALE
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Habari ya muda huu wakuu, naimani tuko wazima. Karibuni sana NGC inapatikana uwanja wa ndege/Kipawa barabara ya karakata karibu na hotel ya New FQ hotel. S L P 70478 DSM Email ...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo: i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu. ii: Eneo: Sqm 1,416 iii. Kina hati: Ndio iv: Bei: 310m v: Mawasiliano: +255...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Anayeuza hiyo gari contact karibu, nipo Serious. Budget ni milioni 7.
0 Reactions
1 Replies
850 Views
NAUZA KIWANJA CHANGU 📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION 🧵Umbali: 👉 5 km kutoka Bunju 👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road 👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH) • Kiwanja kinagusa...
1 Reactions
5 Replies
913 Views
habari. kuna fremu inapangishwa maeneo ya bunju A barabaran awali ulikuwa inatumika kama maabara kwa sasa inapangiswa inahitaji 270 kwa mwezi na kodi ni meiz 6. ina luku yake panoja na choo pia...
1 Reactions
1 Replies
434 Views
Naitwa BUSHI nafanya biashara ya vyuma chakavu kama unazo kuanzia tani 2 wasiliana 0788162538 mkoa wowote Tanzania.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Waheshimiwa habari zenu, Naomba kuuliza na kufahamu, viatu vya culture kwa hapa DSM wanatengeneza wapi au wanapouzia kwa jumla? Msaaada wakuu nina tanguliza shukrani Naweka picha ili upate...
1 Reactions
7 Replies
667 Views
Laptop brand lenovo thinkpad inauzwa bei 350,000 location Mbeya mjini. Ram 4gb, storage 500gb, processor 2.6, core i5.
0 Reactions
2 Replies
566 Views
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Unataka Ipi kati ya hizi?👇👇👇 Je, unatafuta Desktop(CPU peke yakee au Complete)? Je, unatafuta Core 2 Dual, Core i3, Core i5 au Core i7? Je, unatafuta yenye RAM 2GB, 4GB,8GB!? Je, unatafuta...
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Ssd 239 Ram 8 Touch screen Core i5 gen 7 Bei 500k njoo tuzungumze 0753865861
0 Reactions
7 Replies
683 Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Only For Tsh.360,000 Problem ni mic pekee sometimes yes/sometimes no. Double line☑️ Only for serious buyer nicheki WhatsApp au piga 255673269533 Simu ipo Tabata Mwananchi
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Natafuta fire bricks na fire cement kwa ajir ya incinerator naomba msaada wapi nazipata
1 Reactions
1 Replies
443 Views
Jipatie Drone upae angani kwa bei nafuu Drone ina Sifa zifuatazo Drone ni ya kuchaji Inaenda umbali wa meter 200 Drone ina Camera Unaweza kuunganisha camera ya Drone na wifi ya simu yako...
8 Reactions
106 Replies
11K Views
Habari, Kama heading inavyojieleza nauza mafuta ya Alizeti katika dumu za lita 5 kwa TZS 24,000/- : * Mafuta ni masafi * Hayana harufu, * Sio ya kuchemsha na * Si machungu * Muonekano wake...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF, kwa sasa kumekuwa na uhaba wa dollar kinachopelekea wengi wa wafanyabiashara shughuli zao kukwama. Nimekuja na suluhisho la kukusaidia wewe mfanyabiashara unaeagiza bidhaa nje...
1 Reactions
8 Replies
489 Views
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo MAPINGA SHULE nyumba ya kisasa YENYE idadi ya vyumba vitatu master ipo moja lakini pia kuna NYUMBA za wapangaji kwa Nyuma YANI boy kotta zenye chumba sebule x 2 pia...
1 Reactions
2 Replies
648 Views
Back
Top Bottom