Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI MAYAI 60 / TREY 2 BEI 350,000 TU. SIFA ZA MASHINE ZETU. Zinatumia umeme solar na betri. Zinatumia computer ndogo ambayo hudhibiti kiasi cha joto na unyevu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndio wakuu napokea call 0621011063. Naweza ongeza kidogo bei.
1 Reactions
0 Replies
374 Views
Haya katika siku za karibuni hizi zimekuja kwa kasi. karibu mwenye elimu atupe ujuzi air bnb n kitu gani karib
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Nipo mwanza gloves 3000/=, dustmask 2000/=
0 Reactions
2 Replies
239 Views
Lengo la uzi huu ni kupeana dili mbalimbali za kimtandao ili kupunguza angalau ukali wa maisha....[emoji16][emoji16] LENGO NI... 1. Kupata referrals 2. Kujifunza zaidi 3. Kufundishana zaidi 4...
1 Reactions
191 Replies
32K Views
Karibuni sana wapendwa Daju Collection. Sisi ni wauzaji wa nguo za kike za mtumba classic GRADE A+ kwa kila occassion yako. Ofisini [emoji91] Kanisani [emoji91] Harusini [emoji91] Beach [emoji91]...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kujenga nyumba ya kupangisha kulingana na mahitaji ya soko la mtaa husika ni mbinu bora inayoweza kuleta mafanikio makubwa katika uwekezaji wa mali isiyohamishika. Hapa chini kuna sababu 20 za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello Nahitaji camera used. Kuanzia walau 5MP. PTZ 4 chap chap
2 Reactions
6 Replies
493 Views
Habarini, Naomba kujuzwa Bei ya cherehani, butterfly kwa Dar
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu, kuna mtu nipo naye hapa, anatafuta pharmacy ya kununua ndani ya jiji la Dar. Iwe na usajili, Iwe na mauzo mazuri (250k na kuendelea kwa siku) Offer yake ipo vizuri tu, Kama unayo au una...
2 Reactions
11 Replies
776 Views
Kanuni mama kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo ni KUTENGENEZA FEDHA WAKATI WA KUNUNUA ARDHI/MAJENGO. Leo nimekushirikisha sababu 10 kwanini unatakiwa kutumia mtandao wa watu sahihi kununua ardhi...
1 Reactions
0 Replies
407 Views
JIPATIE HUDUMA YA LIPA KWA MPESA BURE: VIGEZO[emoji116] [emoji117]Sajili namba ya vodacom bila kuiwezesha mpesa. [emoji117]Uwe na TIN namba [emoji117]Uwe na kitambulisho cha NIDA Ukiwa navyo hivyo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Redmi xiaomi note 12 pro GB 256 RAM 12 FACE UNLOCK FINGER SENSOR 299,999 Watranty na box lake lipo Dar es salaam 0678096545
0 Reactions
5 Replies
778 Views
Habarini wadau wa JF! Naomba ushirikiano wenu kwa mtu ambae atakuwa anajua sehemu yenye one bedroom apartment yaani chumba, sebure choo ndani na stoo pia kiwe ndani fensi, eneo liwe karibu na...
1 Reactions
1 Replies
367 Views
Serious buyer Boxer Price Tsh 2.75m Call 0698248323
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Nahitaji fundi computer aje anisaidie kurepair window 10 maeneo ya mbagala sabasaba kwa mpili
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Tuna uza vifaa vyote vya Electronics kama vile; TVs, Cookers (majiko), Fridges, Home theatre, Subwoofers, Freezers, Fans, Air Condition, Air Cooler, Stabilizer, Speakers, Blenders n.k. Kwa bei Poa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutathmini thamani ya ardhi na majengo ni mchakato muhimu unaohitaji uelewa wa kina wa masoko ya mali isiyohamishika, vipengele vya mali, na vigezo vingine vya kiuchumi. Malengo ya tathmini hii...
0 Reactions
3 Replies
650 Views
Habari nina ofisi jilani na gereji ya pikipiki nimewaza kuwa nifungue ofisi ya kibandika sticker. Mwenye uzoefu naomba uje unipe moja mbili tatu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza Portable Dell laptop 💻 Specifications Generation:10 Internal storage:1000Gb(1tb) Ram:4 Processor:2.5GHZ Battery charge storage capacity:4hrs Condition :Used like new /nimetumia kwa mwaka...
0 Reactions
0 Replies
358 Views
Back
Top Bottom