Natoa huduma ya embroidery, screen printing kwenye tshirts, kofia, uniforms, masweta, vitambaa, mifuko, mashuka, taulo za hotelini, tunaprint jezi.
General printing ya mabango, business cards...
Life kama linaanza kuwa sawa kwa upande wangu.
Hivyo nahitaji niwe na kagari kamoja hivi ka kwenda nako harusini.
Je kwa Dar wapi naweza pata gari kali kwa bei Chee.
Budget yangu ni kama...
Baada ya kupitia changamoto za kimaisha na Biashara, sasa tumeinuka tena na tayari tumefungua ofisi zetu maeneo ya Ukonga Banana, mkabala na jengo jipya.
Huduma zetu;
SHERIA (WANASHERIA NA...
Utangulizi.
Kuanza kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo imekuwa ni safari ndefu sana. Kwa wengine, imekuwa ni safari ya miaka mitatu. Kwa wengine, imekuwa safari ya miaka mitano. Na wengine...
Habari gani wakuu.
Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.
Bei yake...
Habari ndugu zangu.
Poleni na majukumu.
Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.
Meza 2...
Basi zinauzwa
Namba D
Injini_Scania F310
Gearbox_scania ya gia 6
Mbele Disc brake
Siti_52
Body_Gemilang malaysia
Usb charging ports zipo
Bei Tzsh 45,000,000/=
kwa kila moja
Matairi utanunua...
Make: Toyota
Model: NOAH
Model number: SR50
Body type: Station wagon
Year of Manufacturer: 1999
Color: White
Engine Capacity: cc 1990
Good Condition
Android TV/Audio
A/C
Location: Dodoma
Price...
Mafunzo huria ya kozi fupi ya electrical pamoja na electronics
Nafundisha kozi zifuatazo,kwa wanafunzi wa vyuo na watu binafsi.
1.Introduction to electronics
*Basic electronics in general...
MREI Company Limited ni watengenezaji na wauzaji wa nishati safi ya kupikia inayotumia Oil chafu, lakini pia wanahitaji support kutoka kwa wadau na serikali ili kuweze kuiendeleza technologia hii...
Wakuu habari za wakati huu?
Nahitaji huduma ya tractor au grader kwenye maeneo haya Mkata, Handeni au Tengwe (Tanga)
Kama kuna mdau yoyote anaweza kuniconnect na mtu au kampuni yenye tractor au...
Pagale ya vyumba vitatu, kimoja master, jiko, public toilet, dinning, sitting na store. Kiwanja ni 27*18 bei ni maelewano, Nyumba ipo Msomi! Boda 1000 kutoka Msumi center!
Kama upo interested...
Locked to Airtel: 50,000
Universal (All Simcards) : 65,000
Brand New
10hrs Battery Life.
Recharge bundles without removing simcard.
Buy all 5 + 3Wingles for 180K
Contact: 0693341234
Jipatie Drone aina ya KF 102 yenye sifa zifuatazo
•HD 4K camera
•2 axis Gimbal
•1.2 kilometre flying range
•25 minutes flight time per battery
•5Ghz Wifi frequency transmission
•Altitude hold...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.