Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za majukumu! Nategemea kuvuna matikiti mwezi huu wa 8 tarehe 24-25, shamba lipo mkulanga, unaruhusiwa kutembelea shambani muda wowote kuangalia na kufanya makubaliano muda wowote kuanzia...
1 Reactions
12 Replies
770 Views
Service is temporarily suspended.
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Habari za wakati huu, Nategemea kuvuna matikiti yangu Jumamosi hii tarehe 7, naomba kama kuna muhitaji / Dalali au anayeweza kunipa connection ya kuuza naomba saana msaada wenu. Nimelima...
1 Reactions
4 Replies
703 Views
Toyota rumion Cc 1490 Year 2007 Price 16milion Call 0686475568
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Nahitaji Either Prius au Aqua moja. Anayeuza anicheki. iwe kwenye hali nzuri. na usajili uwe na E. Offa 15m Inbox
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji kununua mashine ya Selcom nipo dar es salaam iwe imeungwanisha na nbc, muuzaji serious anitext inbox
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna hivyo vya aina kama blue bahari 9500/= alafu Sina hiyo nyingine kama blue iliyokolea 8500/= Ni hasara but inabidi nifanye hivyo. Njoo inbox USSR
0 Reactions
9 Replies
887 Views
Timberland loafers boat brown leather nilipatiwa kama zawadi tu sijakipenda == price 38,000 ( size 41 { au 10 } )
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Nina laki 6 natafuta laptop Iwe dell, hp au mackbook ndio ninazikubali sana Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 8+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA...
4 Reactions
9 Replies
644 Views
Funga alarm kwa ulinzi wa gari yako na pia kuepusha kufungua fungua vitasa na funguo maana remote zinauwezo wa kufungua na kufunga kwa umbali wa mita 50 hadi 100 karibu tukuhudumie Piga...
1 Reactions
7 Replies
602 Views
🚙Jeep ➡️Grand Cherokee ➡️Limited edition ➡️Make 2014 ➡️CC 3600, Petrol ♨️ECO consumption tech ➡️Auto 4x4 transmision ➡️Push start Air suspension auto 🛩Cruise control Auto Idle control...
1 Reactions
0 Replies
465 Views
Star x imenyooka haina kipengele ipo kwenye box lake imetumika mwez mmoja tu bei laki mbili tu 200,000/= pungufu tuzungumze private nichek kwa 0627218573 piga sms whatsap namba hiyo mali ipo...
1 Reactions
5 Replies
622 Views
Nilikopa bajaj TVS KING TUKTUK mpya kwa kampuni flani ila nilitanguliza Tsh 1m kama dhamana, imetembea km 300 tu na ina bima ndogo, ina fire extinguisher, Latra na triangle zake ikiipata ni road...
11 Reactions
115 Replies
12K Views
Habari ya ijumaa. Nategemea mko na amani ya moyoni kwa kiwa Leo ni siku ya ijumaa. Madirisha ya nondo na fremu ya mbao yanauzwa. Kulikuwa na servant quarter inajengwa yakabaki hayo madirisha 2...
1 Reactions
2 Replies
958 Views
Mkombe Luxury Safari ya kwenda South Africa[emoji1221][emoji1221] Johannesburg kutoka Dar [emoji1241][emoji1241] ni tarehe 06/01 wahi tiketi yako mapema kwa tzsh 400,000/= au Rand 3000/=...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari mafundi computer Jamani Nina sh 40,000 nahitaji CPU ya desktop computer kampuni yoyote. Iwe unafanya kazi. Ni PM picha zake Shwari wazee
0 Reactions
2 Replies
383 Views
Kwa yeyote ambae atahutaji usaidizi wa kuelekezwa au kufanyiwa HUDUMA zifuatazo asisite kunitafuta. 1.RITA verification ya VYETI vyote. VYETI vya KUZALIWA na VIFO 2.kufanya application za vyuo...
0 Reactions
1 Replies
728 Views
SMS-marketing ni zana muhimu sana katika mazingira ya biashara ya leo, na hata katika shughuli za kijamii kama vile sherehe. Kipindi hiki cha utandawazi kinahitaji njia za mawasiliano ambazo ni...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
✍🏾Gari Ipo Ofisini, 🔸#Honda Crossroad 🔸Year 2007 🔸CC 1990 🔸Km 57,000 🔸Gray Color 🔸4 Wheel Drive 🔸Seating Capacity 7 🔹Cool Music inside 🔹Back Camera 🔹Navigation system 🔹Steering Switch 🔹Rims sport...
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Habari zenu. Kinanda aina ya Yamaha PSR F52 kinauzwa sh 280,000 ambacho kimetumika miezi 2=tu ni kama Bado kipya. Alikuwa anatumia mume wangu kujifunzia kupiga kinanda. Sasa hivi amenunua chenye...
2 Reactions
11 Replies
957 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…