Wakuu habari za usiku huu?
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia...
HABARI ZA WAKATI HUU NDUGU ZANGU KARIBUNI MPATE BIDHAA ZA KITEKNOLOJIA UWEZE KUTENGEZA FEDHA NA KUKAMILISHA MAJUKUM YAKO YA KILA SIKU KIRAHISI 😊.
HELLOW NEW ARRIVAL 😊😊
AMAIZING,😊
TABLET SE 2 New...
Tunatoa uduma za usafi wa magar aina yote, makubwa kwa madogo, tunapandisha juu, inaoshwa chesesi na kwenye ingine, pamoja na ndani, tunasafisha siti, rufu ya juu, tunapiga wax, pia na taa...
Hii gari imekuja leo haina changamoto inauzwa bei yake ni 4m maelewano yapo ,haina changamoto wala kipengele chochote namba 0625927098 nikutumie video yake na maelekezo mengine.
Gari ipi Dodoma.
Habari wana JamiiForums.
Kijana wenu bado nipo na mitikasi ya kupokea nini unahitaji nikupe mawazo, ushauri na unachohitaji kulingana na mahitaj yako.
Spare za magari kama Nissan, Toyota ...
Habari wana Jukwaa.
Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:
Huawei
ZTE
Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana...
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
Nauza lens za kuprotect camera za simu
Wakubwa karibu sana wazee wa iphone, ukiweka hiii camera haichubuki na kupata mikwaruzo
Zingatia hii camera ikichubuka ndio inapelekea picha kua mbayaaa...
Wana jamiii naitupa hii kwa bei ya kitongaaaaaa
VIDVIE SP 908 SPEAKER 🏷️ 250.000/=
BLUETOOTH ✅
PORTABLE✅
MIC✅
Kwa mawasiliano zaidi
Tupigie normal calls / wasap - 0659588492
Tupo kariakoo aggrey...
Nauza kiwanja bei 4M
ukubwa 60*15
Eneo Fumagila/Nyamagana/Mwanza
Maji Yamefika
Umeme umepita
Barabara zipo
Hakijapimwa
Contact
Dm
au ukihitaji nakucheki