Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

SHAMBA LA MITI LINAUZWA Habarini wana Jamvi. Shamba la miti lenye ukubwa wa takribani ekari sabini (70), linauzwa (Ardhi pamoja na miti). Mahali. Nje ya Kidogo ya mji wa Mafinga, Mkoani Iringa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Iko in good condition full ac, lether seat redio iko poa haijawai kupata ajali Nicheki whats app kwa picha na bei 0762908355
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau, Nawakatibisha mjipatie mayai ya Kware kwa ajili ya afya pia kwa ajili ya kuangulishia nicheki kupitia. 0717209059/0765347508 bei nafuu sawa na bei ya jumla inayoweza kukupa faida kama...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Sofa za leza kubwa la watu wawili na mawili ya mtu mmoja mmoja hayana michubuko,godoro imara na ni za ksasa zmenunuliwa mwezi wa pili bei ni 350,000 serious buyer only. ZINAPATIKANA GOBA, piga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenye nayo ,tafadhali naomba unijulishe na bei pia
0 Reactions
25 Replies
3K Views
habari za jion wadau.. Friji au Frizer used inatafutwa.. kwa ajili ya grossary ndogo. kama unauza friji unakaribishwa.. bajeti laki 3 kushuka chini.. kutegemea na ubora wa friji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
....Nauza Huawei Y520 (Brand New) ipo kwenye box lake. Bei ni 180,000... Kwa mawasiliano zaidi Nipm... Nipo Dar.... Karibuni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iwe ya bei pouwa window yoyote ila price iwe ya kawaida na affordable 0762778385
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Ni deodorant ISIYO na Alminium Salt inayosababisha cancer ya ziwa. Inatengenezwa na mmea asili wa aloe vera, haina harufu kali na unaweza itumia baada ya shaving. Kupata yako au kwa maelezo...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Jaman wadau nauza kahuawei kangu y300 kwa bei ya hasara kabisa kwa saabu kameingia maji sasa touch ni ya kubadili nauza sim kwa shilingi 90,000 tuu mawasiliano 0786371108
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Wadau hasa waliopo Arusha, Nahitaji haraka Laptop yenye kasi kwa ajili ya kazi zangu. Bei isiwe zaidi ya laki TANO Mwenye nayo anijuze kwa namba 0785 847 867
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Nauza printer aina ya Sharp model 286 Digital used ya Ulaya. Hii ni colour printer ya laserjet yenye ngazi nne, ina uwezo wa kuprinti karatasi 28 za A4 kwa dakika na inaprint size za A 5, B 5, A...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
vyumba vya kupanga vinapatikana maeneo ya mikocheni B.Kwa maelezo zaidi.0766979955 au 0765265237
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Nauza huawei y530 kwa bei ya shillng 150000/= mwenye shida anichek
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaman wadau ipo note 4 mpya kabisa na box lake sema mimi si mpenzi wa Samsung ivo mwenye sim izo apo juu, hata kama ni used anitafute tuongee exchange asanteni..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cio za tigo,,Znaxoma lain zote... Starting 150k...pcha google B-)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar! Ninayo 50,000/= Nahtaji smartphone used yeyote ile touch screen! Nichek kupitia 0713535562/0684036862 Nipo Dar, Kama huna usi-comment plz!.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
final offer hyo hutaipata popooote pale 0712191251 warranty 3 yrs
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Camera ni mpya almost, used about few weeks,(na ina accessories zote including tv cable ambayo unaweza play picha/video from camera kwenye tv directly) Camera ina features zifuatazo * 14...
1 Reactions
0 Replies
909 Views
B au c, isiwe rangi nyeupe, itakuwa vizuri vibali vyote vya gari vikiwa hai, gari iwe Ktk hali nzuri, cc iwe 1300 Bei ya kununulia ni 7.7mln mpk 7.5mln Mimi mwenye mteja mwenye gari utanipa hela...
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…