Natafuta wimbo wa Moreno Batamba, band ni Orchestra First Moja unaitwa MAPENZI YA KWELI NAYA UONGO HUJULIKANA WAZI WAKATI WA SHIDA.
Nitashukuru: 0715 81 21 60
Ndugu habari
Ford escape bado inadai mpya na plate namba ni C haijawah pata hitilafu yoyote ile.
Bei 23M
unaruhusiwa kuja kuiona na kuitest 0717221590.
Tumia mawasiliano hayo juu kwa...
Wakuu kuna mtu anatafuta chumba cha kupanga kiwe master au vyumba viwili na choo ndani.. Ni dogo ndio anaanza life.
Chumba kiwe Kinyerezi au Tabata Segerea mwisho.
Mwenye kufahamu...
Matrekta kutoka marekani hayajatumika bongo bado yana document zote yanauzwa. Yapo sinza dar. Macey ferguson 1135 horse power 135 , Ford 9000 horse power 138 na john deer 7000 hp 135. Ford million...
Habari zenu wadau,
Ninauza POS software kwa watu wenye small retail business na Whole sellers kwa bei nafuu (USD 300).
Hii ni maalumu kwa watu wanye pharmacies, Restaurants, Bars na hata maduka...
Msasani Residence located at Masaki is a modern apartments under construction for sale.
For more details on the property click;http://www.darproperty.co.tz/property/viewProperty/479…
To see...
Oryx Gesi ya Kupikia mtungi mdogo 19000 na mtungi mkubwa ni 49000 tu
Kwa wateja wa Mwanza tutakuletea mpaka nyumbani BURE!
Masaa ya kazi: Kila siku kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa nne usiku...
Kama Ulivyosoma hapo kichwa cha habari ninahitaji simu Galaxy s3 au S4 iwe original Bajeti yangu ni 170000 hadi 200000 iwe kwenye muonekano mzuri na isiwe na tatizo.
Kwa anaewajua atusaidie, mimi na wachimbaji wadogo wenzangu kwa maana tumesongwa na foleni ya madalali na wajanja wa mjini, mizigo tunayo ila tunaogopa kuleta kwani tunaishia kuhatarisha maisha...
Habari zenu wakuu,
Inahitajika nyumba ya kisasa ya kupanga Singida. Vyumba vitatu,kimoja selfcontained,public toilet,jiko,sebule,yenye tiles,paving blocks, uzio na geti.
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Tunaandika katiba za Makampuni na NGOs
2. Tunaandika Business plans za biashara, makampuni na NGOs
3. Tunaandika Memorandum and Articles of Association za...
Hekari nzuri kwaajili ya ufunguzi wa Hotel,Lodge,Shule au Club, Zinapatikana.
1.MOSHONO
Hekari: 1
Umbali:mita 5 kutoka mipaka ya barabara.
Bei: 180 Milion.
Kutoka mjini: 4.5 Kilomita.
2...
Website kwa ajili ya kuuza bidhaa za duka lako kwenye mtandao. Anza kuwafikia wateja wako popote pale walipo kwa bie nafuu kabisa. Website design kuanzia 400,000 TSH
NOTE: Price include domain +...
Ndugu watanzania wenzangu wapenda ujasiriamali, Mimi ninamiliki laini na kufanya kazi ya uwakala wa huduma ya Pesa kupitia mitandao mitatu yaani;
1. Tigo
2. Vodacom
3. Airtel
Kwasasa...