The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,125
- 14,629
Kwa anaewajua atusaidie, mimi na wachimbaji wadogo wenzangu kwa maana tumesongwa na foleni ya madalali na wajanja wa mjini, mizigo tunayo ila tunaogopa kuleta kwani tunaishia kuhatarisha maisha yetu na wanaotaka utajiri bila kazi. Nasikia kuna Wathailand mtujuze wa mjini ofisi zao ziko wapi.
Mi na zaidi ya kilo moja ya vito vyote vinazidi gram 5 na ni clear and transparent na nawajua kuna wachimbaji wana hadi kilo 3 ila wanatest kuja na jiwe moja wanazungushwa mji mzima wanaishia kuuza bei ya kupata nauli kurudi Katavi kwetu.
Mi na zaidi ya kilo moja ya vito vyote vinazidi gram 5 na ni clear and transparent na nawajua kuna wachimbaji wana hadi kilo 3 ila wanatest kuja na jiwe moja wanazungushwa mji mzima wanaishia kuuza bei ya kupata nauli kurudi Katavi kwetu.