Habari wana JF,
Nauza Laptop inaitwa packard bell ni original Local disk (c) =48.8 GB, local disk (D)=62.9GB ipo kwenye hali nzuri inafanya kazi, ninauza kwa tsh 250,000/= nakupa na adapter...
Nahitaji gari tajwa hapo juu haraka jamani naomba mnisaidie iwe MPYA au HALI NZURI.najua mtauliza kwann nisiagize mwenyewe ila sitoweza kusubiria gari kwa miezi mitatu.please can't wait any longer...
OS
Windows 7 Professional 64-bit SP1 With latest Updates.
CPU
Intel Core 2 Duo E8400@ 3.00GHZ overclockable
Wolfdale 45nm Technology, socket 775 LGA , 6MB...
66auza kiwanja ukubwa wake 70*60, kipo chamazi hapa dsm, ndani ya kiwanja nimejenga nyumba ya vyumba 3, sitting roo 1, dining room 1, stoo 1, master ina choo, ndani kuna choo na bafu, nimeezeka...
Haya wale wapenzi wa iOs mzigo huo hapo... Nahitaji 320k tu.
-Ni ya black ipo in good condition haina tatzo lolote
-Haina scratch
-Ina screen protector back and front
Kama ur interested ni PM
Universal bakery inazo keki za Aina tofauti yaaani ndogo ndogo kwa ajili ya min supermarket, supermarkets, maduka ya rejareja, groceries etc ambazo kwa mfuko mmoja bei yake ni 3000 ziko pc 8, pia...